Dayna Atoboa Sababu za Kukataa Kuolewa Mara...
Msanii Dayna Nyange mwezi uliopita alihudhuria ndoa ya mshakaji wake Roma ilifanyika mjini Tanga, lakini pia mwezi uliopita kuna picha yake ilisambaa anaonekana ametupia shela la harusi yupo na mwanaume flani, akiizungumzia picha hiyo alisema kuwa picha ile ilipigwa kwenye maonyesho ya mavazi, je ana mtazamo gani kuhusu ishu za kufunga pingu za maisha. ‘’Kiukweli […]
Read More..