Akili the Brain Afunguka Kinacho Mkosesha R...
Msanii ambaye pia ni prodyuza Akili the Brain amesema anatamani apate mtu wa kufanya muziki anaoufanya wa Bongo Bangra, ili apate changamoto ya kuwa na mshindani. Akili ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, na kusema kuwa anajisikia vibaya pale anapoona hakuna msanii mwengine anayefanya muziki huo. “Kuna wakati nasikitika sana kwamba nakosa […]
Read More..