-->

Monthly Archives: June 2016

Joh Makini: Sina Tatizo na Dully

Post Image

Baada ya tetesi na uvumi kuzagaa kuwa Dully Skys ana bonge la bifu na Joh Makini mpaka kupelekea kujitoa kwenye kolabo aliyoshirikiswa na TID kwenye wimbo wa Confidence, eNewz imekutana na Joh na kupiga naye stori. Kwanza aliulizwa anajisikiaje kufanya kazi na TID na suala la Dully kujitoa kwenye ngoma ya Confidence analichukuliaje hilo? Joj […]

Read More..

Shilole Kutafuta Mume Kijijini

Post Image

MKALI wa Muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amejutia kuwapenda wanaume wa mjini kuwa ni wavivu kila sekta hivyo anajipanga kwenda kijijini kwao Igunga,Tabora kutafuta mume. Akistorisha na Showbiz Xtra, Shilole alisema kuwa, hataki tena kujichosha akili kwa wanaume wa mjini kwa vile ni wavivu bora aende Igunga kumpata mwanaume atakayeweza kufanya kazi kutokana […]

Read More..

Wema Afungukia Ugomvi Wake na Aunt

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu amefungukia ugomvi ambao hutokea mara kwa mara na shosti wake ambaye pia ni muigizaji, Aunt Ezekiel usiingiliwe na mtu kwani wanapogombana tofauti zao wanazimaliza wenyewe na si mtu mwingine yeyote. Akizungumza na Amani Wema alisema kuwa, yeye na Aunt ni watu waliopo karibu sana na wanaopendana hivyo inapotokea wanagombana […]

Read More..

Dawa za Kulevya Kwangu Itabaki Historia- Ch...

Post Image

Mkali katika muziki wa Bongo Fleva, Rashidi Makwiro ‘Chid Benz’, amesema matumizi ya dawa za kulevya yamempa mafunzo makubwa na itabaki kuwa historia kwake. Chid Benz aliliambia MTANZANIA kwamba dawa za kulevya zimeharibu maisha yake kwa kiasi kikubwa na yamemdhalilisha yeye na familia yake na watu wake wa karibu hivyo hatathubutu kurudia kama baadhi ya […]

Read More..

Alikiba Atambua Kiu ya Mashabiki Zake, Asem...

Post Image

Alikiba amesema anaamini mashabiki zake mpaka sasa watakuwa na kiu ya kusikiliza kazi mpya kutoka kwake hivyo hata waangusha kwani kwa sasa yeye atakuwa akitoka kazi juu ya kazi ili aende sawa na mashabiki zake. “Ukiwa kama shabiki yangu number moja click link kwenye Bio yangu kufikisha 2 Million Views. Kisha baada ya hapo wewe […]

Read More..

King Majuto: Baada ya Ramadhani Anakuja Nah...

Post Image

MSANII mkali wa filamu, maigizo na vichekesho nchini, Amri Athuman maarufu King Majuto, anatarajia kutambulisha filamu yake mpya itakayojulikana kwa jina la ‘Uganga Basi’. Mkali huyo ambaye kwa sasa anatamba na filamu yake mpya inayoitwa ‘Kirungu’ aliyomshirikisha mchekeshaji mahiri na mkongwe katika vichekesho, Brother K, alisema filamu hiyo itatoka Julai mwaka huu. Majuto aliliambia MTANZANIA […]

Read More..

Nisha: Watoto Wamenitoa Machozi

Post Image

Msanii wa filamu Tanzania Nisha ametoa sadaka kwa kufuturisha watoto wasiojiweza katika viwanja vya shule ya sekondari Azania Upanga Jumapili hii, futari iliyohudhuriwa na wasanii wenzake pamoja na watu kutoka sehemu mbalimbali. Hata hivyo Nisha alipata wakati mgumu baada ya watoto hao kuanza kulia naye alishindwa kuvumilia huku akisema anawaonea huruma watoto hao na kuhisi […]

Read More..

Batuli:Wasanii Wengi Wanaishi Maisha ya Kui...

Post Image

MKALI wa filamu nchini, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’, amesema hataki watoto wake wawe waigizaji kwa kuwa kuna mambo mengi anayokutana nayo na hataki wakutane nayo. Akizungumza na MTANZANIA, Batuli alisema hataki watoto wake, Samir na Malima, wawe waigizaji kwa kuwa amekutana na mambo mengi mabaya yakiwemo kutukanwa mitandaoni, kupandishiwa bei za vitu kiasi kwamba vinasababisha wakati […]

Read More..

Hakeem 5 Atoboa siri ya Sharobaro Records

Post Image

Akiongea kwenye Planet Bongo ya east Africa Radio, Hakeem 5 amesema jina hilo walipewa na msanii Dully Sykes, kutokana na muonekano ambao alikuwa nao wa kupendeza. “Sharobaro ni mimi na Bob Junior, sisi ndio Sharobaro, kwa sababu sisi tulikuwa watu ambao tunajipenda sana, tunapendeza, sasa brother Dully akasema aah nyi masharobaro nyinyi, lilimtoka tu hilo […]

Read More..

Uwoya Azua Timbwili Ukumbini

Post Image

DAR ES SALAAM: Ni shida! Staa wa filamu Bongo, Irene Uwoya hivi karibuni alizua timbwili zito ukumbini lililosababisha atolewe nje na kupelekwa nyumbani kuepusha kuzichapa, Risasi Mchanyiko lina habari kamili. Chanzo makini kililiambia gazeti hili kuwa Irene alizua timbwili hilo hivi karibuni kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Upanga jijini Dar ambako kulikuwa na sherehe ya […]

Read More..

Mkali wa ‘Digital Pastor’ Atobo...

Post Image

Msanii na mtunzi wa filamu bongo anayetamba na filamu yake ya Digital Pastor Salehe Lufedha amedai kuwa chanzo cha soko la Filamu kushuka ni wasanii wa kike ambao wana majina makubwa. Akizungumza Katika kipindi cha MID_MORNING TRIP (Kona ya filamu) kinachorushwa na SAFARI RADIO Lufedha amesema kwmba kwa sasa tasnia ya filamu bongo inayumba kutokana […]

Read More..

Acha Wajichore , Aunt Ezekile, Kajala, Chuc...

Post Image

KATIKA dunia ya sasa ya mwendo kasi suala la watu kujichora tattoo sio jambo geni. Wapo wanaojichora kwa ajili ya kuwaenzi wenza wao kwa maana wapenzi, wao, watoto na hata familia zao. Huchora picha ama majina na hata herufi za wahusika mradi kuonyesha namna wanavyowazimia na kuwajali. Kwa mfano katika soka, nyota wa kimataifa wa […]

Read More..

TID: Mimi ni Mtoto wa Kishua

Post Image

Msanii TID ameamua kuwajulisha watu siri ya maisha yake, hususan wale wanaomchukulia poa kuwa amechoka, lakini si kweli. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio TID maesema tangu utotoni mwake amelelewa kwenye familia yenye uwezo kipesa, na kumpa urahisi wa kupata akiyoyahitaji kama mtoto. Akielezea historia ya wimbo wake wa zeze ambao ndio ulimpa […]

Read More..

Picha:Mechi ya TP Mazembe na Yanga,Mashabik...

Post Image

Mechi ya kombe la Shirikisho kati ya timu za Yanga na TP Mazembe imekuwa ya aina yake na kuingia kwenye historia baada ya mashabiki kuingia uwanjani asubuhi na uwanja huo kujaa saa tano asubuhi na mageti kufunga, mechi hiyo itapigwa saa kumi jioni.

Read More..

Madam Rita Afunguka Kuhusu Bongo Star Sear...

Post Image

MKURUGENZI wa Benchmark Production, Rita Paulsen, ametolea ufafanuzi kuhusiana na mchakato wa kusaka waimbaji chipukizi katika shindano lake maarufu la ‘Bongo Star Search’ linalofanyika kila mwaka. Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya Rita kutambulisha kipindi chake kipya cha televisheni cha ‘Rita Paulsen Show’ kinachorushwa kila Jumapili katika runinga ya Azam two. “Rita Paulsen Show […]

Read More..

Mr Blue: ‘Mboga Saba’ ni Habari Kubwa

Post Image

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Mr Blue amesema hajawahi kupata mapokezi mazuri katika muziki wake kama aliyoyapata katika video yake mpya ya wimbo ‘Mboga Saba’ Akiongea na Bongo5 Jumatatu hii, Mr Blue amesema kuna vitu vingi vimechangia kazi hiyo kuwa kubwa kwa muda mfupi. “’Mboga Saba’ hii ni kazi ambayo imefanya vizuri zaidi kwa […]

Read More..

Snura Afunguka Kupigwa Chini Kwa ‘Scriptâ...

Post Image

May 4 2016 serikali kupitia wizara ya Habari,Sanaa,Utamaduni na Michezo waliufungia wimbo wa Chura pamoja na kumfungia msanii Snura kimuziki kisha May 5 msanii huyo akawa amekamilisha vitu vyote kisha akafunguliwa kimuziki,kazi ikawa kwenye kuuachia wimbo wa Chura ambao aliambiwa aurudie,kitu unachotakiwa kufahamu kwa sasa,ni kwamba Snura aliandika script ya video lakini pia ilikataliwa. ‘’Nilipeleka […]

Read More..

Nay wa Mitego Awashukia Wanaotaka Kujibisha...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego, amesema kwa levo aliyonayo kwenye gemu la muziki hawezi kushindana na msanii ambaye anatafuta kiki kupitia yeye na huku hafikii levo yake. Nay wa Mitego, aliyazungumza hayo Ijumaa kwenye kipindi cha Friday Night Live ya EATV na EA Radio baada ya kuulizwa kuhusiana na tetesi kwamba hapo awali […]

Read More..