Johari Afungukia Ishu ya Kuolewa Mke wa Pil...
Muigizaji wa filamu nchini Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka na kuweka wazi sababu yeye kubadili dini na kuwa muislam na kudai kwamba mwanaume hajawa sababu yeye kubadili dini bali yeye mwenyewe ana damu ya uislam ndani yake kwani wazazi wake mmoja ni mkristo na mwingine ni muislam. Johari kupitia kipindi cha eNEWS alisema hana mpango wa kuolewa […]
Read More..