Nimekamua Kichizi Filamu ya Kitonga – Mau...
MAULID ALLY aka Mau Fundi ametamba kwa kusema kuwa amefanya makubwa katika filamu inayokwenda kwa jina la Kitonga ambayo ameigiza kama mtu asiyependa masihara na anaamini kuwa ameitendea haki na wapenzi wa filamu wanunue waone kazi yake humo ndani. “Nimekamua kichiz katika filamu ya Kitonga si unajua nikiwa na njaa ya kazi ninavyopiga kazi, leo […]
Read More..