-->

Monthly Archives: August 2016

Nimekamua Kichizi Filamu ya Kitonga – Mau...

Post Image

MAULID ALLY aka Mau Fundi ametamba kwa kusema kuwa amefanya makubwa katika filamu inayokwenda kwa jina la Kitonga ambayo ameigiza kama mtu asiyependa masihara na anaamini kuwa ameitendea haki na wapenzi wa filamu wanunue waone kazi yake humo ndani. “Nimekamua kichiz katika filamu ya Kitonga si unajua nikiwa na njaa ya kazi ninavyopiga kazi, leo […]

Read More..

Bahati Adai Kuzinguliwa na Linex, Mwenyewe ...

Post Image

Msanii Bahati kutoka Kenya ameyafikisha mezani mambo yaliyotokea kati yake na Linex, mpaka kukosekana kwenye wimbo wake mpya wa ‘mapenzi’ ambao unafanya vizuri kwa sasa Afrika Mashariki. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Bahati amesema walikubaliana na Linex na alisha rekodi sehemu yake na kwamba kilichobaki kilikuwa ni ku’shoot’ video ili kazi hiyo […]

Read More..

Msanii wa Nigeria awatamani Ali Kiba, Diamo...

Post Image

MSANII wa muziki wa pop kutoka nchini Nigeria, Omo Alhaji Ycee, ametoa msaada wa Sh milioni moja katika kituo cha wanajamii cha Kigamboni Community Center (KCC) ili zisaidie kutokomeza umasikini. Msanii huyo ambaye yupo katika ziara ya kutangaza muziki wake, aliliambia MTANZANIA kwamba ameamua  kuunga mkono kituo hicho kwa sababu  ya kujitolea  kwao kukuza vipaji […]

Read More..

Filamu ya Kesho Yangu Kuonyeshwa Ndani ya S...

Post Image

Usikose kuangalia filamu hii ndani ya Sibuka maisha channel 111 Kuanzia 02 septemba 3 usiku 03.September saa 9 mchana 04.Septemba saa 3 usiku  

Read More..

Diana: Nakuja Kwa Kishindo na ‘Kalambati ...

Post Image

KIMYA kingi kina mshindo ndivyo anavyojinadi mwanadada huyu Diana Kimaro akisema kuwa alikuwa mafichoni akijipanga kwa ajili ya kukabiliana na pacha wake Lulu ili naye aweze angalau kuibuka na uigizaji bora kwa mwaka huu baada ya kufanya kazi zenye ubora mkubwa kwa lengo la kuwa mwigizaji bora wa kike. “Unajua wengi wanajua kuwa swahiba wangu […]

Read More..

Nataka Nifanane na Mashabiki Wangu- Man Fon...

Post Image

Mkali wa singeli nchini Man Fongo amesema hawezi kubadilisha muonekano wake kwa kuwa yeye ni mtoto wa uswazi na anataka kuwa sawa na mashabiki zake. Akipiga story na eNewz, Man Fongo amesema mashabiki zake ni wale wa uswahilini ambao hawawezi kuvaa nguo ya laki tatu hivyo na yeye hawezi kuvaa hizo nguo bali atavaa sawa […]

Read More..

Masanja:Nimeoa Kuhamasisha Vijana Wasiogope

Post Image

Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ aliyefunga ndoa hivi karibuni na kuzua tafrani kwa wasanii wenzake kutiwa hatiani kwa kutumia sare za askari siku ya harusi yake na mkewe Monica Masatu amefunguka kwa kusema kuwa amefungua njia kwa vijana wengi wenye uwezo kimaisha lakini hawataki kuoa. “Unakuta kijana yupo safi kimaisha lakini hataki kuoa hela anayo kila […]

Read More..

King Crazy GK Aukacha Rap, Akijita Kuimba

Post Image

Rapa kutoka kundi la East Coast, King Crazy GK ameamua kuingia Studio kwa Alonem ambapo amebadili maudhui ya uimbaji wake kutoka kurap na kufanya muziki wa kuimba huku video akiifanya na muongozaji Donald kutoka Uganda. Akipiga story ndani ya eNewz, GK amesema kuwa ushindani uliopo kwenye game la muziki tofauti na zamani ikiwa ushindani ulikuwa […]

Read More..

Lowassa Atoa Waraka Kuhusu Kukamatwa Kwake

Post Image

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ametoa waraka akisema kitendo cha askari wa Jeshi la Polisi kuwakamata wakati wakiwa kwenye kikao cha ndani cha Chadema jana  kimemuimarisha na kumpa nguvu zaidi ya kudai demokrasia. Katika waraka wake kwa vyombo vya habari leo, Lowassa amesema anafurahishwa na kutiwa moyo na jinsi Watanzania walivyoipokea operesheni yao ya […]

Read More..

Wema Sepetu: Sirudi Tena Dar

Post Image

Malkia wa filamu Wema Sepetu amelikimbia jiji la Dar es salaam na kuamua kuanzisha makazi mapya mkoani Arusha kama alivyodai mwenyewe. Mwigizaji huyo ambaye kwa sasa yupo mkoani Arusha ameonyeshwa kuvutiwa na jiji la Arusha na kuamua kuwarusha roho mashabiki wake kwa kuwaambia kwamba hatarudi tena Dar es salaam. “My shouger nikimpenda hovyooo, kweli watu […]

Read More..

Nisha Afunguka Kuacha Skendo za Aina Hii

Post Image

Muigizaji wa vichekesho kwenye tasnia ya filamu nchini, Salma Jabu a.k.a Nisha Bebee amesherehekea siku yake ya kuzaliwa tarehe 28 kwa kuamua kutembelea Hospital ya Ocean Road kuwaona wagonjwa waliolazwa katika hospital hiyo. eNewz ambayo ilifanikiwa kufika eneo la tukio ilimkuta Nisha ambaye alisema maisha yake kwa sasa ameamu kuyaelekeza kwa kusaidia watu na siyo […]

Read More..

Picha: Alichokifanya Diamond Huko Meru, Ken...

Post Image

Diamond Platnumz ana miaka mingi ya kuvuna mapesa kutokana na show zake. Kutoka kwenye mapokezi yaliyovunja rekodi, Meru nchini Kenya hadi kuangusha show iliyohudhuriwa na makumi kwa maelfu ya mashabiki wenye kiu, staa huyo ameendelea kujiweka kwenye ligi yake mwenyewe. Jionee  

Read More..

Kala Jeremiah: Utafika Muda Nitakubali Kuji...

Post Image

Kala Jeremiah ni mmoja kati ya wasanii wanaotabiriwa na mashabiki kuja kujiunga na ulingo wa wanasiasa hapo baadaye. Msanii huyo amedai kuwa mara kadhaa wananchi wamemtaka agombee Ubunge lakini amewakatalia ila amedai ipo siku atakubali. “Nimeshaombwa sana na wazee, wakina mama, na jamii ikinitaka nigombee Ubunge, lakini mimi kwa sasa bado, unajua nikiwa Mbunge nitakuwa […]

Read More..

Waziri Nape Azifungia Radio 5 na Magic FM K...

Post Image

Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye, ametangaza kuvifungia vituo vya Radio 5 Arusha na Magic Fm Dar kwa muda usiojulikana kwa kosa la uchochezi.\ Waziri Nape amesema ameielekeza kamati ya maudhui kuviita vyombo hivyo na kuvisikiliza kwa kina kisha kumshauri juu ya hatua zaidi za kuchukua. Aliongeza kuwa kimsingi radio zote mbili […]

Read More..

Dully Atoboa Sababu ya Kuwaashirikisha Wasa...

Post Image

Msanii Dully Sykes a.k.a Mr. Misifa ametoa sababu ya yeye kupenda kusaidia wasanii ambao wana kiwango cha kati, na kusema anafanya hivyo ili kujitengenezea njia. Akizungumza na Planet Bongo ya East Africa Radio, Dully Sykes amesema anapoamua kufanya ‘collabo’ na wasanii wadogo, hufanya hivyo kwa ajili ya amaisha yake ya kesho kwenye game, ili wakiwa […]

Read More..

Shamsa Ford Kufunga Ndoa Ijumaa Hii

Post Image

Msanii wa filamu Shamsa Ford anatarajia kufunga ndoa Ijumaa hii na mfanyabiashara wa nguo aitwae ‘Chidi Mapenzi’. Muigizaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa ndoa hiyo itafanyika nyumbani kwa wazazi wake Sinza Africana jijini Dar es Salaam. “Kweli bhana Ijumaa hii Mungu akipenda nafunga ndoa,” alisema Shamsa Ford. Miezi mitatu iliyopita mfanyabiashara huyo alikiri kuwa kwenye mahusiano […]

Read More..

Sababu za Mastaa wa Bongo Movie Kugeuza Usi...

Post Image

STAILI ya maisha ya mastaa wengi ulimwenguni inafanana lakini zaidi ni ile tabia yao ya kubadilisha usiku kuwa mchana kwa sababu mbalimbali, Juma3tata linakuondolea utata. Siyo jambo la ajabu kwa mastaa kufanya kazi zao mpaka usiku mwingi kisha alfajiri kulala hadi mchana wa jua kali, muda ambao watu wengine huwa makazini wakitafuta riziki zao. Ukiacha […]

Read More..

Dogo Janja: Nakua na Mziki Wangu

Post Image

Msanii Dogo Janja ametoa sababu inayomfanya azidi kuwa bora kwenye kazi zake, kadri siku zinavyokwenda, tofauti na wasanii wengi ambao wakitoa hit song, hushindwa kuendelea nazo. Akizungumza kwenye FNL ya East Africa Television na East Africa Radio, Dogo Janja amesema kwa sasa yeye anakua kiumri, hivyo hata uwezo wa kuandika mashairi yake unakua. “Mimi ninakua […]

Read More..