Thea Kuja na Tamthilia 3 Mpya Kwenye Runing...
Msanii mkongwe wa filamu, Salome Urassa ‘Thea’ amesema anajipanga kuachia tamthilia 3 mpya baada ya soko la filamu kudai kubadilika. Akiongea na Bongo5 Jumapili hii, Thea amesema kuongezeka kwa runinga kumewafanya wasanii wa filamu kufikiria nje ya box kwa kutengeza tamthilia. “Kusema kweli sasa hivi tamthilia za kwenye runinga ndo zimekuwa issue, runinga nyingi zinahitaji […]
Read More..