Skaina: Sitaki Kuolewa Tena
STAA wa filamu Bongo, Skyner Ally ‘Skaina’ amefunguka kuwa hahitaji kuolewa tena wala kusikia kitu kinachoitwa ndoa katika maisha yake na kwamba anachoshukuru ni Mungu kumjalia mtoto. Akizungumza na Amani Skaina alisema kuwa, alipata kovu kubwa sana la ndoa kipindi cha nyuma alipofunga ndoa yake ya kwanza hivyo hapendi kusikia tena kitu hicho kwa kuwa […]
Read More..