-->

Monthly Archives: September 2016

Gabo Zigamba:Matapeli Wanatumia Jina langu

Post Image

Wezi wa mtandaoni wameonekana kutembea karibu na msanii nguli wa Bongo movies, Gabo Zigamba ikiwa ni siku chache tangu walipoidukua akaunti yake ya facebook. Msanii huyo ametoa tahadhari kuhusu utapeli unaoendelea kwa kutumia jina lake. Awali, msanii huyo alipoteza simu mbili za mkononi ambazo baadaye zilionekana kutumiwa na matapeli hao kuomba misaada kwa watu mbalimbali […]

Read More..

Jide Awaasa Wanafunzi Wanaotaka Kuishi Kifa...

Post Image

MWANAMUZIKI Judith Wambura ‘Jide’, amesema ili wanafunzi waishi maisha ya kifalme, wanatakiwa wajiamini katika kutimiza ndoto zao kupitia elimu. Jide alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza wakati wa shindano la wanafunzi wa sekondari mkoani Iringa lililopewa jina la ‘I can think, I can Speak, Speech Competition 2016’. “Wanafunzi hawatakiwi kukata tamaa katika masomo yao kwa kuwa wengi […]

Read More..

Kuigiza Ukahaba, Ulevi Si Dhambi- Dokii!

Post Image

UMMY Wenceslaus ‘Dokii’ mwigizaji wa filamu wa kike mkongwe amefunguka kwa kusema kuwa msanii anapoigiza sehemu inayohusu ulevi au ukahaba haina maana ndio tabia yake halisi bali ni uhusika tu ambao ni njia mojawapo ya kuionyesha athari ya matukio hayo wala si tabia ya mhusika. “Unapopewa nafasi ya kuigiza kama Kahaba au mlevi ukiangalia imani […]

Read More..

Dude: Tasnia ya Filamu Bongo ni Kama Choo c...

Post Image

Msanii wa filamu nchini, Kulwa Kikumba aka Dude, amesema tasnia ya filamu Tanzania imekuwa kama choo cha jiji ambapo kila mwenye hela na anayetaka kuwa maarufu, hukimbilia huko. Dude amesema hiyo ni sababu kubwa ya kuzorota kwa tasnia ya filamu nchini. “Ubovu wa kazi za movie unakuja kutokakana na kupenda hela zaidi kuliko kufikiri,” Dude […]

Read More..

Nuh Mziwanda: Bora Shilole Kuliko Petit Man

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Nuh Mziwanda kwa sasa ameingia katika mgogoro na aliyekuwa meneja wake, Petii Man kutokana na madai kuwa Petii Man amekuwa akitumia jina lake vibaya kupiga hela. Nuh alitumia dakika 4 akiiambia eNewz kuwa Petii Man alikuwa ni mpigaji, na hakuwa na mchango wowote katika kuuendeleza muziki wake, huku akimkumbuka mpenzi wake […]

Read More..

Nay wa Mitego Awachana Tena Wenzake

Post Image

Rapa Nay wa Mitego ambaye kwa sasa anafanya vyema na ngoma yake ‘Saka hela’ amefunguka na kusema kuwa amegundua kwenye muziki wa bongo fleva saizi kuna wasanii wengi maboya akimaanisha washamba. Nay wa Mitego alisema hayo kupitia kipindi cha ‘Ngaz kwa Ngaz’ kinachorushwa na EATV na kudai mwanzo walikuwepo wasanii wawili maboya lakini saizi amegundua […]

Read More..

Diva: Nachaji Milioni 3.5 kwa Appearance Tu

Post Image

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva The Bawse amewataka mastaa wa Tanzania kutambua thamani ya brand zao na kuacha kujichukulia poa. Amedai kuwa mastaa wengi wamekuwa wakitumika bure kufaidisha watu wengine na anadhani ni muhimu wakaacha kujishusha kiasi hicho. Anadai kwa upande wake yeye, hafanyi kitu bure na kudai kuwa hata kuonekana kwenye saa moja kwenye […]

Read More..

Ujumbe wa Wema Sepetu Kwa Wote Waliomtumia ...

Post Image

Jumatano hii ilikuwa ni siku ya kuzaliwa ya staa wa filamu Wema Sepetu ambao ndugu, jamaa pamoja na marafiki walimtakia heri na mafanikio mrembo huyo. Moja kati ya vitu ambavyo vilileta gumzo kwenye mitandao ya kijamii ni baada ya mama Diamond kum-wish malkia huyo wa filamu huku akimkaushia Zari ambaye ni mama watoto wa Diamond. […]

Read More..

Muhogo Mchungu: Jamani Mimi Sijafa wala Siu...

Post Image

Muigizaji mkongwe kwenye tasnia ya filamu nchini Abdallah Makumbila alimaarufu kama Muhogo Mchungu amekanusha taarifa zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa amefariki na kusema kuwa yeye saizi hasumbuliwi hata na mafua. Muhogo Mchungu alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Supamix cha East Africa Radio amesema kuwa kwa sasa anafanya utaratibu wa kwenda kumshtaki mtu ambaye amesambaza […]

Read More..

Nuh Mziwanda Afunguka Kuwakacha Kina Petit ...

Post Image

Msanii Nuh Mziwanda ambaye hivi karibuni kulikuwa na tetesi za kuzinguana na uongozi wake akiwemo Petit Man ambaye anamsimamia, amesema ameamua kuachana kabisa na uongozi huo kwa mapenzi yake mwenyewe. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Nuh Mziwanda amesema ameamua kufanya hivyo kwani hana muda wa kupoteza tena, kwani meneja huyo anaonekana hana […]

Read More..

Wastara Apata Ubalozi wa Simu za KZG, Atali...

Post Image

Staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amepata shavu la kuwa balozi wa Kampuni ya simu ya mkononi ya KZG ambapo leo amekabidhiwa na kusainishwa mkataba rasmi. Akizungumza katika tukio la kusaini makubaliano ya kuwa balozi wa kampuni hiyo  lililofanyika katika ukumbi wa De Mag Hotel iliyopo Mwananyamala, Dar,  Wastara alisema amefurahi sana kupata shavu hilo […]

Read More..

Steve Nyerere Atoboa Siri ya Bongo Fleva Ku...

Post Image

Jumapili hii timu ya mpira wa miguu ya wasanii wa Bongo Fleva ilitoana jasho na timu ya wasanii wa Bongo movie, lengo ikiwa ni kukusanya pesa za kuchangia waathirika wa maafa ya tetemeko la ardhi mkoani Kagera.   Katika mchezo huo, Bongo Fleva waliibuka washindi, wakiendeleza kipigo kwa Bongo Movie kwa mwaka wa 5 sasa […]

Read More..

Deni La Bil. 7 Lamziba Mdomo Madam Rita

Post Image

DAR ES SALAAM: Habari zilizozagaa wiki iliyopita kuhusu Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuidai shilingi bilioni 7 Kampuni ya Benchmark Production inayomilikiwa na mjasiriamali, Ritha Paulsen ‘Madam Rita’, zimesababisha mwanamama huyo kuziba mdomo wake kwa kukataa kuzungumzia sakata hilo.   Gazeti hili lilimtafuta mdau huyo mkubwa wa burudani ambaye pia huendesha shindano la kila mwaka […]

Read More..

Barafu Aiponda Biashara ya Bongo Movie

Post Image

Msanii wa Bongo Movie Barafu amesema biashara ya movie ni kama biashara kichaa kwa kuwa inamlazimu msanii kufanya kazi na kuipeleka kwa “Mhindi” ambaye hadi auze kwanza arudishe pesa ndipo amlipe msanii. Akiongea na eNewz Barafu amesema “biashara ya move ni tofauti na mtu anayeuza pipi au duka kwa kuwa unatengeneza movie kwa mamilioni lakini […]

Read More..

Kalapina Afunguka Kuhusu Chid Benz Kurudia ...

Post Image

Msanii Kalapina ambaye pia ni mwanaharakati wa kupambana na madawa ya kulevya na akiwa mmoja wa watu waliomsaidia Chid Benz baada ya kuathiriwa na madawa ya kulevya, amefunguka kuhusu hali ya sasa ya msanii huyo.   Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Kalapina amesema Chid Benz alikuwa hajapata matibabu sahihi alipotoka ‘sober house’, […]

Read More..

Erycah: Wema, Uwoya Kaeni Chonjo

Post Image

VIDEO Queen ‘hot’ Bongo ambaye ameonekana kwenye video za wasanii mbalimbali wa muziki, Ericka Daniel ‘Erycah’ amefunguka kuwa, mastaa kama vile Wema Sepetu, Irene Uwoya, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na wengineo wakae chonjo kwani amedhamiria kufunika ustaa wao. Akipiga stori na Ijumaa juzikati, Erycah ambaye hivi karibuni aliing’arisha Video ya Kwa Hela ya Mwanamuziki Linex alisema, […]

Read More..

Timbulo Awatolea Povu Wasanii Hawa wa Kike

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Timbulo amefunguka na kusema kuwa asilimia kubwa ya wanawake wamezoea kupata kidogo katika maisha yao ya kila siku ndiyo maana inapotokea wamepata kikubwa wanawehuka na kuvurugika. Timbulo alisema hayo kupitia kipindi cha eNewz ya EATV na kusema kuwa kuna baadhi ya wanawake wakipata fedha au mafanikio katika maisha yao […]

Read More..

Ali Kiba Achaguliwa Kuwania Tuzo za Mtv Ema

Post Image

Msanii wa Kimataifa kutokea Tanzania, Alikiba maarufu kama Kingkiba, Leo ametajwa kwenye nominations za tuzo kubwa dunia za Mtv Europe Music awards (MTVEMA) katika category ya BEST AFRICAN ACT, Alikiba ni msanii pekee kutokea East Africa huku akiungana na miamba mingine ya mziki kutoka Nigeria na south Africa kama ifuatavyo Best African Act Alikiba – […]

Read More..