Gabo Zigamba:Matapeli Wanatumia Jina langu
Wezi wa mtandaoni wameonekana kutembea karibu na msanii nguli wa Bongo movies, Gabo Zigamba ikiwa ni siku chache tangu walipoidukua akaunti yake ya facebook. Msanii huyo ametoa tahadhari kuhusu utapeli unaoendelea kwa kutumia jina lake. Awali, msanii huyo alipoteza simu mbili za mkononi ambazo baadaye zilionekana kutumiwa na matapeli hao kuomba misaada kwa watu mbalimbali […]
Read More..