Siwalaumu Wanaopenda Skendo – JB
Msanii wa filamu nchini Jacob Stephen maarufu kama JB amefunguka na kusema kuwa yeye hawalaumu wasanii ambao wamekuwa wakiendesha maisha yao ya sanaa kwa kutafuta ‘kiki’ au kufanya skendo. Amesema kwa upande wake yeye hawezi kufanya hivyo kwani anaamini kuwa maisha ya skendo huwafanya wasanii waonekane wahuni, washindwe kuaminiwa na kudharauliwa na baadhi ya watu. […]
Read More..