Hip Hop si Dini Wala si Kabila- Darassa
Rapa anayefanya vizuri na wimbo wake wa ‘Too Much’ kwenye muziki wa bongo sasa Darassa amefunguka na kusema kuwa muziki wa Hip hop si kabila wala si dini ila yeye anatambua kuwa anakipaji. Akiongea kwenye kipindi cha ‘Ngazi kwa Ngazi’ kinachorushwa na EATV Darassa amesema watu wamekuwa wakiongea mengi juu ya muziki anaofanya, watu wamekuwa […]
Read More..