Ukibana Ndani Nje Tunatoboa- Barafu
MWIGIZAJI wa filamu Swahilihood Suleiman Barafu amesema kuwa wakati kuna wakati wa filamu nchini hawatoi nafasi kwa waigizaji wenye uwezo kama yeye watayarishaji wa filamu wa nje wanawaona na kuwaita kwa ajili ya kushiriki katika kazi zao, na anafanya kazi nchini Kenya. “Nashukru Mungu kazi yangu ya uigizaji imefika mbali kwani kama inafikia mtayarishaji kutoka […]
Read More..