Sholo Mwamba: Man Fongo Kabweteka Mapema Sa...
MKALI wa Muziki wa Singeli ambaye alisikika katika Ngoma ya Kazi Kazi ya Prof. Jay, Sholo Mwamba kwa mara ya kwanza amemfungukia msanii mwenzake, Man Fongo kuwa kwa muda mfupi aliotoa ngoma ya Hainaga Ushemeji imemfanya kubweteka na kuridhika. Akichonga mbili-tatu na Global TV Online kupitia Kipindi cha Mtu Kati, Sholo Mwamba anayetikisha na Ngoma […]
Read More..