Ditto Atoboa Siri ya Kufanya Nyimbo Zinazoi...
Muimbaji na mtunzi wa nyimbo, Lameck Ditto amesema muziki wake bado unamlipa zaidi kupitia ring tone na hiyo ndio ilikuwa shabaha yake; kufanya nyimbo ambazo zitaishi kwa muda mrefu. Akiongea na Clouds E ya Clouds TV, Ditto alisema, “Unajua licha ya kuwa kimya kwa muda ila nyimbo zangu huwa zinakaa muda mrefu. Mtu akisikiliza kama […]
Read More..