Banana Zorro Afungukia Singeli
Hakuna ubishi kuwa muziki wa Singeli umeteka vichwa vya mashabiki wengi kwa sasa nchini. Banana Zorro amefunguka juu ya matarajio ya kufanya muziki huo. Muimbaji huyo ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa ana uwezo wa kufanya muziki huo lakini kwa sasa hajafikiria kuufanya. “Mimi nina uwezo wa kufanya kila muziki, lakini Singeli kwangu kwa sasa sijafikiria […]
Read More..