Raymond Amshukuru Diamond Alichomfanyia Kwe...
Raymond ameendelea kumshukuru bosi wake wa lebo ya WCB, Diamond Platnumz kwa kile anachomsaidia kupitia muziki wake. Hitmaker huyo wa Natafuta Kiki, amefunguka kwa kuweka wazi kuwa nguo alizovaa kwenye video ya ‘Kwetu’ na ‘Mugacherere’ zilikuwa za bosi wake huyo. Kupitia mtandao wa Instagram, Ray Vanny ameandika: Kwenye Video ya #KWETU Nguo zote Ulinipa wewe!!! […]
Read More..