Yamoto Band Watoka Mafichoni
Mhe. Temba ambaye ni msanii na kiongozi wa kundi la Yamoto Band amefunguka na kuweka wazi mipango ya kundi hilo na kusema wapo tayari kuachia kazi mbili za Yamoto Band ndani ya siku mbili zijazo. Akizungumza na eNEWZ Mh Temba amesema alikuwa na mpango wa kuachia kazi yake lakini inabidi asubiri kwanza Yamoto Band watoe kazi […]
Read More..