Said Fella Aota Urais Mwaka 2040 au 2060
Said Fella ana ndoto kubwa katika career yake ya siasa. Si tu kwamba anataka aje kuwa mbunge siku za usoni, Fella ana ndoto ya kuwa mkuu wa nchi kabisa. Meneja huyo mkongwe katika tasnia ya muziki wa Bongo Fleva na aliyejitengenezea umaarufu mkubwa kupitia kundi la TMK Wanaume Family kwa sasa ni Diwani wa kata […]
Read More..