-->

Monthly Archives: March 2017

VIDEO: Msiniite Tena TID-Khalid

Post Image

Mkongwe wa bongo fleva Khalid Mohamed maarufu kwa jina la TID au Mzee Kigogo amelikataa rasmi jina la TID ambalo ndilo lililompatia umaarufu na kutaka kupendekeza aitwe jina lake alilopatiwa na wazazi wake au ‘Mnyama’. Akipiga story na eNewz ya EATV TID amesema halipendi tena jina hilo kwa kuwa limekuwa la kawaida sana na kudai watu […]

Read More..

Wolper: Aika na Nareel Ndiyo ‘Couple’ I...

Post Image

STAA wa Bongo Movie, Jackline Wolper, amesema uhusiano wa wasanii wenzake, Aika na Nahreel, wanaounda kundi la muziki la Navy Kenzo, ndiyo ‘couple’ imara zaidi kwa wasanii kwa sasa. Wolper alisema anafurahishwa na wanavyoweza kukabiliana na changamoto wanazokumbana nazo katika uhusiano wao na hawayumbishwi licha ya kuwa mastaa wakubwa kwa sasa katika muziki. “Wamejitahidi sana […]

Read More..

VIDEO: Wasanii ‘Bongo Movie’ Wa...

Post Image

Mkongwe wa filamu Jacob Stephen ‘JB’ amefunguka kwamba wasanii wa filamu wapo hatarini kupotea ikiwa hawataweza kwenda sawa na kipindi ambacho tasnia hiyo inapitia kwa sasa. JB ametoa tahadhari hiyo huku akikanusha hofu iliyopo kwamba tasnia ya movie imekufa ambapo amedai kuwa kuna wasanii wanaoweza kupotea kwenye ramani na kuja wasanii wapya lakini tasnia itaendelea kubaki palepale hivyo […]

Read More..

Rose Ndauka: Wanaume Wakware Bado Wananisum...

Post Image

STAA wa filamu nchini, Rose Ndauka, ameweka wazi kwamba licha ya kujibidisha kwenye ubunifu wa kazi mbalimbali za kumwingizia kipato anazozifanya, hujikuta akikutana na idadi kubwa ya wanaume wakware wanaomtaka kimapenzi badala ya kufanya naye biashara. Ndauka ambaye kwa sasa anajishughulisha na ujasiriamali, alisema amekua akibuni njia mbalimbali za kumwingizia kipato ili aendane na hali […]

Read More..

Shilole Apanga Makubwa Kwenye 40 ya Mtoto w...

Post Image

Shilole aka Shishi Trump ni mzungu. Amesema hana kinyongo na ex wake Nuh Mziwanda na ndio maana mwaliko wa 40 ya mtoto wa kike wa Nuh na mke wake Nawal ukihusika, ataenda kufanya makubwa. “Mimi sinaga shobo ujue,” muimbaji huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio hivi karibuni. “Mimi naenda kwa moyo wangu […]

Read More..

VIDEO: Nay wa Mitego Akutana na Waziri Mwak...

Post Image

Staa wa Bongofleva Nay wa Mitego alifika katika ofisi za Wizara ya Habari, utamaduni, sanaa na michezo zilizopo Dodoma kwa ajili ya kuonana na kufanya mazungumzo na Waziri Dr. Harrison Mwakyembe ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu msanii huyo kuachiwa huru. Nay wa Mitego alikuwa akishikiliwa na Jeshi la polisi Dar es slaam kwa tuhuma […]

Read More..

Jide Afungukia Mahusiano Yake na Spicy Kuto...

Post Image

Wakati maneno ya chini chini yakiwa yanaendelea kuhusu kupigwa kibuti na mpenzi wake mpya Spicy kutoka Nigeria, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ amefunguka na kusema wabongo wengi wanapenda wenzao waharibikiwe na kuwataka kuacha kuwaziana mabaya. Jide amelazimika kutoa kauli hiyo baada ya maneno kuzagaa kuwa amepigana kibuti na Mnigeria huyo ikiwa ni siku chache baada ya kuandika […]

Read More..

Koletha: Kulea ni Kazi Ngumu

Post Image

SIKU chache baada ya kujifungua mtoto wa kike, msanii mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Koletha Raymond amefunguka kuwa tofauti na alivyowahi kufi kiri, kulea ni kazi ngumu, hivyo kila mtu anapaswa kumheshimu mama aliyemlea. Akistorisha na Za Motomoto News, Koletha alisema kulea siyo rahisi kama watu wengi wanavyodhani au kama yeye alivyokuwa akifi kiri […]

Read More..

Ney wa Mitego: Nafikiria cha Kuzungumza na ...

Post Image

RAPA ambaye wimbo wake wa ‘Wapo’ unazungumzwa zaidi kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo mbalimbali vya habari, Emmanuel Elibariki (Nay wa Mitego), amesema kwa sasa anajipanga ajue cha kuzungumza na Rais Magufuli kama atapata nafasi ya kukutana naye kama alivyomuagiza. Ney alisema alipotoa wimbo wake huo alijua hautafurahiwa na watu wote, lakini kwa […]

Read More..

VIDEO: JB afungukia Ishu ya Kukosa Mtoto Kw...

Post Image

Muigizaji maarufu wa filamu Bongo, Jacob Stephen  Bonge la bwana maarufu kama  JB amefunguka na kuweka wazi kwamba maisha yake ya kutopata mtoto mpaka sasa kwenye ndoa yake hayajawahi kumkosesha furaha wala kuacha kumpenda mke wake. Kwenye kipindi cha Kikaangoni kupitia Facebook ya EATV wakati akijibu maswali ya mashabiki wake JB amesema kuwa hajabahatika kupata mtoto kwenye […]

Read More..

Davina Atoa Ombi Hili kwa Waziri Mwakyembe

Post Image

NYOTA wa filamu nchini, Halima Yahaya ‘Davina’ amemtaka Waziri Mpya wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe kuendeleza mambo mazuri yaliyoanzishwa na mtangulizi wake, Nape Moses Nnauye ili kuwasaidia wasanii. “Tunamuombea Mungu Waziri Mwakyembe awe nasi karibu kama alivyokuwa Nape,  kwani tulikuwa tukimpigia simu na kumweleza shida zetu za sanaa, muda wote anapokea […]

Read More..

Ni Heri Mtu Akose Figo Kuliko ‘Bando&...

Post Image

Msanii Roma Mkatoliki amesema hali ya utandawazi imeharibu nchi ya Tanzania katika utendaji kazi maofisini mpaka shuleni kutokana na watu kutekwa na mitandao  ya kijamii kwa kutotaka kupitwa na vitu vinavyoendelea kutokea. Akizungumza katika kipindi cha eNewz kinachorushwa na EATV rapa huyo anayetamba na ngom ya ‘Usimsahau Mchizi’ ametoa kauli hiyo kufuati hali ya nchi […]

Read More..

Makonda Ahojiwa na Kamati ya Madaraka ya Bu...

Post Image

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda leo amefika mbele ya kamati ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge baada ya wito wa Kamati hiyo kumtaka ajibu tuhuma zinazomkabili za kuingilia Haki, Uhuru na Madaraka ya Bunge. Taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari na Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Bunge imeeleza kuwa […]

Read More..

Uzazi Unampenda Monalisa

Post Image

KATI ya wasanii ambao kila ukutanapo uvutia kwa muonekano wake si mwingine bali ni mwigizaji nyota isiyochuja miaka na miaka Monalisa ni msanii ambaye amekuwepo katika tasnia kwa miaka mingi lakini bado yupo katika muonekano huku mabinti wakija na kuchuja kimuonekano na sanaa yenyewe pia. Nendeni Duniani mkajaze Ulimwengu ni maneno yaliypo katika maandiko matakatifu […]

Read More..

Baraka The Prince Asita Kuingia Kwenye Fila...

Post Image

Msanii Baraka The Prince anayetamba na wimbo wake wa ‘Niache Niende’ amesema wakati wake ukifika naye atajiingiza katika mambo ya filamu nchini kama alivyokuwa Hemed PHD. Msanii huyo ameelezea hisia zake kwa kile anachokiamini kwa kusema yupo katika harakati za kujenga ‘brandy’ yake ya muziki ili itambulike vizuri katika soko huku akidai alishawahi kufuatwa na director […]

Read More..

Video:Harmorapa Hana Pesa ya Kunilipa ̵...

Post Image

Mkongwe wa bongo fleva Juma Kassim Nature ‘Sir Nature’ amekanusha vikali kulipwa na msanii Harmorapa katika wimbo wa ‘Kiboko ya mabishoo’ na kudai kwamba kijana huyo hana pesa za kumlipa na kusisitiza yeye alifanya kwa upendo tu. Akizungumza na eNewz ya EATV, Nature amesema kwamba alikubali kushiriki katika wimbo huo kwa sababu anaamini msanii huyo chipukizi […]

Read More..

Mwigulu: Aliyemtishia Nape Bastola si Polis...

Post Image

Dodoma. Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amesema mtu aliyemtishia kwa bastola aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye si askari wa Jeshi la Polisi, lakini ameshapatikana na atashughulikiwa kwa mujibu wa utaratibu wa ulinzi na usalama. Mwigulu alisema hayo baada ya kufungua mkutano wa kazi wa mwaka wa maofisa waandamizi […]

Read More..

Kisa Wivu Snura Awatosa Mastaa

Post Image

MWANADADA mwenye umbo matata anayesumbua kunako Tasnia ya Muziki Bongo na Filamu, Snura Mushi ‘Snura’ amesema kuwa yeye ni mwanamke mwenye wivu sana jambo ambalo limemsababisha mpaka kushindwa kut   oka kimapenzi na mastaa wanaomtaka. Akipiga stori mbili tatu na Uwazi Showbiz, Snura aliongeza kuwa amekuwa akifuatilia uhusiano wa kimapenzi wa mastaa wengi na kugundua kuwa […]

Read More..