Ujumbe wa Prof Jay kwa Wasanii Waliotaka Ak...
Mbunge wa Jimbo la Mikumi kupitia CHADEMA ambaye pia ni msanii wa ‘hip hop’, Joseph Haule (Profesa Jay) amesema hana kinyongo na wasanii wote na wote waliokwenda jimboni kwake kipindi cha uchaguzi oktoba 25, 2015 kwa ajili ya kumpinga. Msanii huyo kupitia ukurasa wake wa kijamii instagram ameandika maneno machache yanawagusa moja kwa moja wasanii wenzake waliokuwa […]
Read More..