Baada ya Ndoa ya Pili Flora Afunguka Haya
Msanii wa nyimbo za injili Tanzania Flora ambaye alikuwa mke wa Emmanuel Mbasha jana amefanikiwa kufunga ndoa yake ya pili na kijana Daudi Kusekwa baada ya ile ya kwanza kuvunjika na kupeana talaka na Emmanuel Mbasha. Baaada ya kufunga ndoa hiyo jana Flora alisema yeye ana amani ya moyo licha ya watu kuendelea kusema maneno […]
Read More..