Diamond Afungukia Swala la Zari Kumtembelea...
Msanii wa muziki, Diamond Platnumz amedai ameshindwa kupost chochote kumtakia hali aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Zari, Ivan ambaye amelazwa hospitali, kwa madai ataonekana anatafuta kiki. Muimbaji huyo amedai amekuwa akimhimiza mpenzi wake Zari kwenda kumtakia hali mzazi mwenzake huyo. “Ni kweli mzazi wake Zari anaumwa, na yuko serious. Na kila siku huwa namuhimiza […]
Read More..