Jinsi mume Alivyomuua Mke kwa Risasi na Yey...
Mwanza. Mtoto Ester Maxmilian (17) ameelezea vifo vya wazazi wake waliofariki baada ya baba yake kumpiga risasi mama na yeye kujipiga risasi. Wawili hao ni Maxmilian Tula (40) aliyejipiga risasi kifuani baada ya kumpiga risasi tatu mkewe Teddy Malulu (38) huku chanzo vifo hivyo kikiwa na utata. Wanandoa hao wamezaa watoto wawili, Ester na Grace […]
Read More..