Sura za Wanaume Hazinisumbui- Shamsa Ford
MREMBO anayefanya vyema kwenye filamu nchini, Shamsa Ford, ameibuka na kuwataka wasichana wenye majina kuacha kuchagua wanaume wa kuwaoa kwa sura zao bali waangalie tabia zao. Shamsa alisema wasichana wengi wamekuwa na tabia ya kupenda wanaume kwa sura zao, lakini yeye anashauri waangalie tabia zao. “Natoa ushauri huu kwa wanawake wezangu hasa hao wanaojiona mastaa, […]
Read More..