Alipo Barnaba Si Levo Zake Kabisa! (Maoni)
KUWA na kipaji ni suala moja, kukitumia ni suala la pili. Ila suala muhimu zaidi ni kuvuna matunda stahiki kupitia kipaji husika. Ni ujinga kuwa na kipaji na kuishia kupewa sifa tu. Haina maana kuwa na kipaji kikubwa ikiwa wanaofaidika ni wale wenye vipaji vya kawaida. Barnaba ni msanii mwenye kipaji kikubwa. Wengi wa wasaniii […]
Read More..