SHILOLE: Kufanya bonge la harusi!
SHILOLE msimchukulie poa kabisa. Alichopanga kufanya kama kikikaa sawa, itakuwa gumzo kwelikweli hapa jijini. Msanii huyo wa muziki wa Bongo Flava na mwigizaji wa Bongo Muvi amewaambia mashabiki na marafiki zake kwamba, wasiwe na haraka watulie kwanza kwani anaamini ndoa yake ambayo amedai iko njiani, itaacha historia. Amesema kuwa harusi yake itakuwa ya maana na […]
Read More..