Machinga Wahahaa Kuitafuta Filamu ya Bei Ka...
BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu staa wa filamu Bongo Simon Mwapagata ‘Rado’ amerudi kwa nguvu zote akija na filamu kubwa ijulikanayo kwa jina la Bei Kali, filamu hiyo ambayo imezua simulizi mitaani huku wapenzi wa filamu wakiomba kampuni itakayosambaza sinema hiyo ya Papazi Entertainment iitoe haraka. Mmoja kati ya wauzaji wa filamu za […]
Read More..