Roma Mkatoliki Aibukia Kenya
Rapa Roma Mkatoliki ambaye amerudi na ujio wa nguvu na ngoma zake ‘Zimbabwe’ na ‘Hivi ama vile’ baada ya kukaa kimya muda mrefu baada ya kupata matatizo ya kutekwa sasa ameibukia nchini Kenya. Roma Mkatoliki pamoja na Stamina ambao kwa pamoja wanaunda umoja wao unaofahamika kwa jina la ‘Rostam’ wameanza kupiga hatua mbele zaidi ya […]
Read More..