-->

Daily Archives: September 10, 2017

Nay wa Mitego: Nilishinda Njaa Siku Nne Huk...

Post Image

UKISIKIA staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki (Nay wa Mitego) amechia ngoma mpya ni lazima utaitafuta ili usikie kilichoibwa na rapa huyo hata kama huna mapenzi na muziki. Bosi huyo wa lebo ya Free Nation ametengeneza mazingira ya kusikilizwa na mashabiki wake tofauti na wasanii wote. Mapema wiki hii rapa huyo anayetamba na ngoma yake […]

Read More..

Rayvanny awabwaga WizKid, Davido tuzo za Af...

Post Image

Mmoja wa wasanii wanaounda lebo ya Wasafi (WCB), Raymond Shaban maarufu Rayvanny ametwaa tuzo ya African Act of The Year zinazotolewa na Uganda Entertainment Awards. Kwa ushindi huo, msanii huyo amewabwaga Wizkid na Davido wa Nigeria na Vanessa Mdee wa Tanzania. Rayvanny ameshinda tuzo hiyo ikiwa ni miezi michache tangu Juni 24, alipoandika historia katika […]

Read More..