-->

Daily Archives: September 12, 2017

Shahidi Kesi ya Wema Asema Bangi Ilikutwa J...

Post Image

SHAHIDI upande wa serikali kesi ya Wema Sepetu kutuhumiwa kutumia madawa ya kulevya amesema msokoto wa bangi ulikutwa ukiwa kabatini jikoni kwake. Hayo yamesemwa na ofisa wa ofisi ya Mkuu wa Upelelezi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Inspekta Willy akimweleza Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba, wakati akiongozwa na Wakili wa Serikali, Constantine Kakula. Inspekta Willy anakumbuka Februari 4, mwaka huu aliitwa […]

Read More..

Haya Mapya ya Lady Jaydee

Post Image

Msanii wa kike kwenye game ya bongo fleva mwenye majina lukuki ikiwemo Komando, dada wa bongo fleva, Anaconda lakini lake rasmi la kisanii ni Lady Jay Dee, anatarajia kuachia wimbo wake mpya hapo le. Kwa muda msanii huyo amekuwa akiweka post za kuhesabu siku ili kutuambia kile ambacho amekikusudia kwenye ukurasa wake wa Instagram, na […]

Read More..

Lameck Ditto: Siyo Vizuri Kutangaza Mabaya ...

Post Image

UKITAJA orodha wasanii wa Bongo wenye hadhi ya kuwa wanamuziki basi jina la Dotto Bwakeya ‘Lameck Ditto’ ni lazima liwemo. Mwimbaji huyu wa Moyo Sukuma Damu amekamilika kila idara yaani mbali na kuimba ni mtunzi na mpigaji wa ala za muziki. Ni wasanii wachache sana Tanzania wenye uwezo wa kutumbuiza mubashara (live) kwenye jukwaa. Ditto […]

Read More..