Ommy Dimpoz Agoma Kuzungumzia Ishu ya Mama ...
Msanii wa muziki Bongo, Ommy Dimpoz amesema hawezi kuzungumzia ishu ya post ya mama mzazi wa Diamond katika ukurasa wake wa Instagram. Muimbaji huyo amesema kufanya hivyo ni kuamsha hisia upya kwa mambo ambayo yalishapita na hata menejimenti yake imemkataza kuzungumzia suala hilo. Katika exclusive interview na Bongo5 Ommy Dimpoz amesema asingependa kuzungumzia hayo lakini […]
Read More..