Watengeneza kisiwa cha udongo ili wanywe po...
Kutokana na marufuku dhidi ya unywaji pombe hadharani wakati wa sherehe za mwaka mpya nchini New Zealand kikundi kimoja cha watu kutoka eneo la kisiwa cha Coromandel nchini humo kimeshangaza watu baada ya kutengeneza kisiwa kidogo cha udongo kisiwani hapo ili wanywe pombe bila kukamatwa na polisi kwa kukiuka marufuku hiyo. Kwa mujibu wakazi hao, […]
Read More..