-->

Daily Archives: January 15, 2018

Sura yangu Haijakomaa, Bado Mrembo-Shamsa F...

Post Image

MUIGIZAJI wa filamu Bongo movie Shamsa Ford katoa mpya pale aliposema kuwa bado yu ngali kijana kwani akijiangalia uso wake bado na sura yake ina mvuto na kumuweka katika makundi ya wadada wadogo kabisa, anafurahia kwa muonekano huo ambao anahisi hakimbizani na uzee akijiangalia uso wake. “Mpaka rahaa jamani nilikuwa najiangalia katika kioo kumbe uso […]

Read More..

Fid Q Amweka Hadharani Mpenzi Wake

Post Image

RAPA Fareed Kubanda ‘Fid Q’ ameamua kujilipua kwa kumweka hadharani mpenzi wake mapema katikati ya wiki hii kupitia ukurasa wake wa Instagram. Katika kile kinachoonekana kufuata nyayo za washkaji zake, FA na AY walioamua kuwaweka hadharani wapenzi wao, Fid Q ameonekana kujiachia na mpenzi wake huyo kwa kupiga selfie kwa kujiachia. Moja ya picha zilizotikisa […]

Read More..

Monalisa Awapa Neno Wanaomtolea Maneno Mach...

Post Image

MUIGIZAJI asiyechuja kutoka Bongo movie Yvonne Cherryl ‘Monalisa’ anasema kuwa anakutana na changamoto ya kutusiwa na hata watu ambao hawamjui wala yeye pia hana mahusiano nao awali ilikuwa ikimsumbua lakini kwa sasa anaamini kuwa watu wa namna hiyo si wa kuwalaumu inawezekana wana msongo wa mawazo. “Kuna watu wameumbwa kwa ajili ya kuwakwaza wenzao kuna […]

Read More..

Hamisa Mobetto Apachikwa Majina Haya Mtanda...

Post Image

Mwanamitindo Hamisa Mobetto amesema hana tatizo na majina aliyopewa Instagram na mashabiki wanaomchukia kwani hayampunguzii uhai wa kuishi zaidi ya kumpa kiki na kuweza kufanya biashara zake na mambo yake yenye maana kwa kiki wanazompa. Hamisa katika mtandao wa Instagran kuna mashabiki ambao wameunda team na kumpa majina ya maudhi ilimradi kumdhalilisha au kumchukiza. Majina […]

Read More..

VideoMPYA: Country Boy na Moni wametuletea ...

Post Image

Karibu Bongoflevani…. karibu kuitazama nyingine mpya kutoka kwenye umoja wa MoCo unaoundwa na Moni Centrozone na Country Boy…. CHEKI FULL VIDEO: HARUSI YA SHILOLE

Read More..