Sura yangu Haijakomaa, Bado Mrembo-Shamsa F...
MUIGIZAJI wa filamu Bongo movie Shamsa Ford katoa mpya pale aliposema kuwa bado yu ngali kijana kwani akijiangalia uso wake bado na sura yake ina mvuto na kumuweka katika makundi ya wadada wadogo kabisa, anafurahia kwa muonekano huo ambao anahisi hakimbizani na uzee akijiangalia uso wake. “Mpaka rahaa jamani nilikuwa najiangalia katika kioo kumbe uso […]
Read More..