-->

Daily Archives: January 21, 2018

Vincent Kigosi (Ray) ndani ya “BEST M...

Post Image

Msanii maarufu wa Filamu kutoka Tanzania ( Industry ya Bongo Movies) Ndg. Vincent Kigosi aka ” Ray ” leo ameandika kwenye ukurassa wake wa Instagram  “ VOTE FOR ME AS BEST MALE MOVIE STAR ” .   Hii ikiimanisha kuwa kwa upande wa wasanii wa filamu wa kiume jina lake limeingia kwenye orodha ya wasanii 14 […]

Read More..

Ray “The Greatest” amuandikia m...

Post Image

Leo ilikuwa siku ya “Birthday” kwa mtoto wao Vincent Kigosi & Chuchu Hans kutimiza mwaka 1. Katika maneno mazuri na matamu kwa mwenza wako, msanii huyu Nguli wa Bongo Movies Nd. Vincent Kigosi aka ” Ray The Greatest” kayaandika haya kwenye ukurasa wake wa Instagram na kumwambia mkewe haya …..Thanks Chuchu Hans Kwa Kunizalia Mtoto Huyu Sina […]

Read More..

Sitozikwa na Wasanii Pekee- Wastara

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wastara Juma amesema hatokuja kumladhimisha mtu yeyote katika tasnia ya ‘bongo movie’ kuwa yeye hana pesa ya kujitibia ugonjwa wake unaomsumbua kwa madai hata siku ikitokea akifa hawezi kuzikwa na hao pekee yao. Wastara ametoa kauli hiyo kwenye kipindi cha ‘FRIDAY NIGHT LIVE’ (FNL) kinachorushwa na EATV tinga namba moja kwa […]

Read More..

Kuna Wakati Unatakiwa Ushindwe ili Ushinde ...

Post Image

Msanii wa muziki Bongo, Ruby ameamua kuwatia moyo watu ambao wamekata tamaa na vitu wanavyovifanya. Mrembo huyo mwenye sauti adimu ametoa rahi hiyo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram kwa kuwaandikia ujumbe usomekao ‘Sometimes you gottaloose to win again #jesusdidit #TZBIRD?? #mwakawamaajabu’ ujumbe huu umekuja ikiwa ni siku chache kupita tokea kuachiwa […]

Read More..

Sholo Mwamba ni Mfa Maji”- Man Fongo”

Post Image

Msanii wa miondoko ya singeli Man Fongo amesema hawezi kukaa na kumzungumzia Sholo Mwamba kwa madai yeye ni mfa maji ndiyo maana haishi kutapa tapa kila uchao kumtaja. Man Fongo ameeleza hayo baada ya masaa machache kupita tokea kuonekana kwa ‘video’ ya Sholo iliyorushwa na EATV katika kipindi cha ‘FRIDAY NIGHT LIVE’ (FNL) usiku wa […]

Read More..

Wolper Ageuka Kungwi

Post Image

Msanii wa filamu bongo ambaye sasa amegeukia ujasiriamli, Jackline Wolper, amewapa somo mabinti na kuwafunda juu ya kujishughulisha ili kujipatia kipato chao, na hatimaye waweze kuheshimika. Akizungumza kwenye Friday Night Live ya East Africa Television, Jackline Wolper amesema ni wakati sasa mabinti kuacha kutegemea pesa wanazopewa na wanaume, na badala yake wajishughulishe ili kutengeneza pesa […]

Read More..

JUX amwaga mahela kwa Vanessa avunja record...

Post Image

January 20, 2018 Mwimbaji Staa wa kutoka Bongoflevani Vanessa Mdee amekutana na mashabiki wake  Mlimani City Dar es salaam na kuwauzia album yake mpya ya Money Mondays, JUX naye alikuwepo na alinunua CD 25. Jux amesema kuwa amenunua CD 25 nyingine atawapa mashabiki wake lakini pia amefanya hivyo kwa ajili ya kumsupport Vanessa Mdee, msikilize […]

Read More..