VIDEOMPYA: Lulu Diva-amezoea
Msaani Lulu diva kaachia video mpya,inaitwa “amezoea”. BOFYA PLAY KUITAZAMA
Read More..Msaani Lulu diva kaachia video mpya,inaitwa “amezoea”. BOFYA PLAY KUITAZAMA
Read More..MWIGIZAJI mwenye mvuto nchini, Yvonne Cherryl ‘Monalisa’, amechaguliwa katika kinyang’anyiro cha tuzo zinazojulikana kwa jina la The African Prestigious Awards akigombea kama mwigizaji Nyota wa Kike wa Mwaka. Washindi wa tuzo hizo hupatikana kwa kupigiwa kura na mashabiki na Monalisa amewaomba mashabiki wake kutomwangusha. “Ninawaomba mashabiki wangu wote kwa jumla kunipigia kura ili niweze kubeba […]
Read More..Siku chache baada ya MCL Digital kumtembelea muigizaji wa filamu na maigizo Mzee Majuto na kuandika habari zake kwenye gazeti la Mwanaspoti na mitandao ya kijamii, hatimaye Rais Dk John Pombe Magufuli leo Jumatano amemtembelea muigizaji mkongwe, Mzee Majuto katika Hospitali ya Tumaini jijini Dar es Salaam anakopatiwa matibabu. Akithibitisha habari hizo, mke wa Mzee […]
Read More..Msanii wa muziki bongo asiyeisha vituko, Zuwena Mohamedi maarufu kama Shilole, ameweka wazi janga lililomkuta kwenye nguo aliyovaa ambayo imeonekana kuwaacha watu midomo wazi huku wakimcheka. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Shilole amesema nguo hiyo aliagiza mtandaoni, lakini matokeo yake ilikuja kumbadilikia baada ya kuvaa. “Kwaweli haya mambo ya kununua vitu mitandaoni […]
Read More..