-->

Monthly Archives: January 2018

RUBY:“Usijifanye jini kujua, wakati una s...

Post Image

Muimbaji wa Bongofleva Ruby bado watu wanasubiri kwa hamu ujio wake mpyaa baada ya kukaa kimya bila kutoa ngoma toka mwezi April 2017, kimya cha Ruby wengi hawakifurahi kutokana na wao kuamini kuwa Ruby ana uwezo mkubwa Mashabiki wengi kwa sasa wanasubiri ujio mwingine wa Ruby lakini leo muimbaji huyo ametoa ya moyoni mwake kupitia […]

Read More..

HERI MUZIKI NA DIVA: vipi tena?? “WAAMABIE”

Post Image

Ikiwa zimepita siku chache toka muimbaji wa Bongo Fleva Heri Muziki kuachia ngoma yake aliyowashirikisha Mwana FA na Mr Paul “Waambie” imeonekana kama mtangazaji Diva thee bawse ambaye ni mpenzi wake kuamua kutoa kipande cha Heri Muziki katika wimbo huo na kuweka sauti yake. Kutokana na hiki alichokifanya Diva thee Bawse lakini wimbo huo kimetafsirika […]

Read More..

Wema Amlipua Mke wa ‘Nabii’ Tito

Post Image

DAR ES SALAAM: Katika hali isiyotarajiwa, imeelezwa kuwa msanii nyota wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu, amemlipua mke wa ‘Nabii Tito’ baada ya mwanamke huyo kumshawishi kupitia mitandaoni aolewe na nabii huyo. Chanzo chetu makini kilisema kuwa, msanii huyo amekasirishwa na kitendo cha mke huyo kumshawishi kuolewa na mumewe anayeitwa Onesmo Machija ‘Nabii Tito’ (44). “Wema Sepetu […]

Read More..

Tausi Mdegela Kuolewa Mke wa Pili

Post Image

Msanii wa filamu wa Tanzania mwenye muonekano wa kipekee na kipenzi cha watoto, Tausi Mdegela, ameutaarifu umma kuwa anatarajia kuolewa kuwa mke halali wa mpenzi wake wa siku nyingi ambaye ni msanii wa muziki wa taarabu, Prince Amigo. Akizungumza na mwandishi wa EATV, Tausi amesema suala la ndoa ni mipango lakini ni jambo ambalo lipo, kwani […]

Read More..

Vanessa mdee Auza Nakala 750 za CD ya Money...

Post Image

Msanii wa muziki Vanessa Mdee amesema ameuza nakala 750 za CD ya albamu yake ya Money Mondays, Mlimani City jijini Dar es Salaam. Akizungumza na MCL Digital, Vanessa amesema nakala hizo aliziuza Jumamosi Januari 20,2018 siku ambayo pia alikutana na mashabiki wake. Amesema, “Nilipofikia ni msanii wa kimataifa, hivyo lazima nifanye mambo kuendana na wenzangu […]

Read More..

WEMA SEPETU: “Kiukweli wameniudhi sana kw...

Post Image

msanii nyota wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu, amemlipua mke wa ‘Nabii Tito’ baada ya mwanamke huyo kumshawishi kupitia mitandaoni aolewe na nabii huyo. Chanzo chetu makini kilisema kuwa, msanii huyo amekasirishwa na kitendo cha mke huyo kumshawishi kuolewa na mumewe anayeitwa Onesmo Machija ‘Nabii Tito’ “Wema Sepetu nakupenda sana hata Nabii Tito anakupenda sana, […]

Read More..

Mchekeshaji Mboto: Kitu ambacho hawezi kusa...

Post Image

Mchekeshaji Mboto Haji ameamua kumshukuru kwa mara ya kwanza hadharani muigizaji Aunty Ezekiel ambaye alimuonyesha upendo wakati anaugua na alipolazwa hospitalini na shukrani hizo ameziandika kupitia ukurasa wake wa instagram. Mboto ameandika ujumbe huu kupitia ukurasa wake wa instagram “Wewe ndo jembe langu, mchiz waaaaaangu, kuna kipindi nilisumbuliwa na tatizo la moyo uliacha ratiba zako […]

Read More..

Pretty Kind: “Sijahongwa elfu 20 kisa...

Post Image

Baada ya kufungiwa Miezi 6 kutoa nyimbo mpya, kutumbuiza na kujihusisha na muziki kivyovyote, leo January 24 , 2018 Msanii Pretty Kind amesema sio kweli kwamba amefulia mpaka amekua akihongwa Elfu 20. Pretty Kind alieleza kuwa washaabiki walichukulia vibaya alichosema kuhusu “WANANUME HAWAJUI KUHONGA”. Lakini aliomba msamaha kuhusu jambo hilo na pia kuahidi kubadilika. Alisema […]

Read More..

Idris Sultan ashindwa kuvumilia mafanikio w...

Post Image

Idris Sultan ameonyesha kukerwa na baadhi ya Watanzania wanaopenda kupoteza muda mwingi katika mitandao ya kijamii kuliko kazi na kuuita ni “umbea” hii imekuja baada ya kuona mafanikio kutoka +254 Kenya baada ya movie ya “Watu Wote” kutajwa katika Tuzo za Oscar nchini Marekani na kutengeneza Satelite yao ya kwanza nchini humo., Kupitia ukurasa wa […]

Read More..

Maisha ni Kupambana- Alex Sanchez

Post Image

Kama ulikuwa hufahamu, haya ni machache kuhusu mchezaji  Alex Sanchez ambaye teyari ameshajiunga na Manchester United.       Alimuepusha mama yake na kifungo. Baba yake Sanchez aliachana na mama yake kabla ya yeye Sanchez kuzaliwa. Baada ya kuzaliwa na Ili kumlea mtoto wake mama yake aliaanza biashara ya kuuza samaki. Na akiwa na umri […]

Read More..

Mama Mjatta Atoa Angalizo Hili kwa Wasanii

Post Image

MWIGIZAJI mkongwe nchini, Tecla Mjatta amefichua kuwa moja ya mambo yanayoweza kumsaidia msanii na kufika mbali ni kuzingatia nidhamu tu. Amefichua kwamba, kama wasanii watahimiza na kukomalia nidhamu kwenye kazi basi watafika mbali na kuwa wasanii wakubwa ndani ya nje ya nchi. Mama Mjatta alisema hata yeye hiyo ndiyo silaha yake kubwa na ndio maana […]

Read More..

Wolper: Ufundi Unanilipa

Post Image

MSANII wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper, amesema mbali na sanaa yake hiyo, amekuwa akipata hela nzuri kupitia kazi yake ya mitindo ambapo sasa ameamua kuwa fundi seremala. Wolper amesema huu ni wakati wake wa kutengeneza fedha ili kutimiza ndoto zake za kuishi maisha aliyojipangia tangu akiwa mdogo. “Hakuna asiyependa maisha mazuri na tutambue tu […]

Read More..

DIAMOND Platnumz akutana na wasanii wa Rwan...

Post Image

kutokea Bongoflevani Diamond Platnumz mwishoni mwa weekend hii alikuwa nchini Rwanda ambapo alienda kwenye mambo yake binafsi ikiwa ni pamoja na kutangaza bidhaa zake za Diamond Karanga na Chibu Perfume kisha kupata nafasi ya kukutana na wasanii wa nchi hiyo.. Diamond amepost picha kwenye ukurasa wake wa instagram akiwa na wasanii wa Rwanda wakipata Dinner […]

Read More..

Mweee! Eti Senga Hajapata Mrithi

Post Image

MCHEKESHAJI mkongwe katika filamu Bongo, Ulimboka Mwalulesa ‘Senga’ amesema hajapata mtu wa kuendeleza makali yake ya uchekeshaji sambamba na pacha wake Pembe bin Kichwa, licha kujaa wasanii wa kumwaga nchini. “Filamu ni kama soka tu, zamani wachezaji wenye vipaji walikuwa wengi, ila hawakuwa na fedha, lakini siku hizi fedha nyingi lakini vipaji hakuna. Natamani sana […]

Read More..

Nabii Tito Akamatwa

Post Image

Jeshi la Polisi mkoani Dodoma, linamshikilia Onesmo Machibya maarufu Nabii Tito mwenye miaka 44 ambaye ni mkazi wa kijiji cha Ng’ong’ona Manispaa ya Dodoma, kwa kosa la kueneza chuki ya kidini dhidi ya watu wengine. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma Gilles Muroto, amesema Nabii Tito amekamatwa baada ya kurekodi vipande […]

Read More..

Aunty Ezekiel :”Ila huku tunakoenda dah!

Post Image

Muigizaji kutoka Bongo Movie Aunty Ezekiel amechukua headlines  katika mitandao ya kijamii baada ya kupost caption ambayo imeacha maswali kwa baadhi ya mashabiki kupitia ukurasa wake wa instagram na wengi kutafsiri hueda akawa kwenye migogoro na baba mtoto wake Mose Iyobo. “Sina kawaida ya kuweka Maisha yangu kwenye Mitandao ila huku tunakoelekea ? Dah!wanaume!!!!?“ Aunt […]

Read More..

Ronaldo Apasuliwa Uso, Madrid Ikishinda 7-1

Post Image

LICHA ya ushindi wa bao 7-1 dhidi ya Derpotivo la Coruna walioupata Real Madrid katika La Liga, mshambuliaji wake, wa Kimataifa Raia wa Ureno, Cristiano Ronaldo alikutana na dhoruba baada ya kuumia kwa kupasuka usoni. Ronaldo aliumia kwa kuchanipa sehemu ya usoni baada ya kugongwa wakati akijaribu kufunga. Alikuwa ameruka kichwa kwa lengo la kufunga […]

Read More..

DIAMOND PLATNUMZ: Rwanda ni Nyumbani pia.

Post Image

Msaani Naseeb Abdul Juma aka DIAMOND PLATNUMZ alihojiwa hivi karibuni kwenye luninga ya Rwanda (Exclusive Interview) RTV na akawamwagia sifa Kem Kem Mashabiki zake kutoka Rwanda kwa jinsi wanavyompa support katika kazi zake ya Kisanii na pia ununuzi wa bidhaa zake. Alisema ” Rwanda is my Second Home ” akiwa anamaanisha Rwanda ni Nyumbani kwake pia. […]

Read More..