-->

Daily Archives: February 20, 2018

Mkude Simba: Kweli tumeua filamu zetu

Post Image

MWIGIZAJI aliye pia mchekeshaji mahiri katika tasnia ya filamu za Swahilihood, Mussa Kitale ‘Mkude Simba’ amekiri soko la Bongo Movie limeporomoka na ndio sababu ya wasanii kukimbilia kuigiza tamthilia badala ya filamu. “Biashara kubwa ilikuwa katika Bongo Movie, lakini kwa wengi wa wasanii sasa imeyumba, mwokozi wetu labda kwa sasa ni tamthilia, sijui itakuwaje kama […]

Read More..