-->

Ali Kiba Kutoka Upya na Lupela

MSANII wa Bongo Fleva nchini, Ally Kiba, amesema wimbo wake mpya wa ‘Lupela’ atauachia mwishoni mwa mwezi wa nne.

kiba5

Wimbo huo ambao video yake imefanyika nchini Marekani, utaachiwa rasmi mwezi wa nne, ukiwa ni sehemu ya mradi wa Wild Aid ambao msanii huyo ni balozi wake.

Haijajulikana kama wimbo huo ni sehemu ya kampeni hiyo, lakini vipande vya wimbo huo vilivyowekwa katika mitandao ya kijamii vinasikika na kuonyesha kuwa video ya kawaida na si kampeni.

Mtanzania

Comments

comments

Post Tagged with

Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364