-->

Alikiba Atambua Kiu ya Mashabiki Zake, Asema Haya

Alikiba amesema anaamini mashabiki zake mpaka sasa watakuwa na kiu ya kusikiliza kazi mpya kutoka kwake hivyo hata waangusha kwani kwa sasa yeye atakuwa akitoka kazi juu ya kazi ili aende sawa na mashabiki zake.

KIBA322

“Ukiwa kama shabiki yangu number moja click link kwenye Bio yangu kufikisha 2 Million Views. Kisha baada ya hapo wewe shabiki yangu una haki ya kunidai mashine nyingine. Najua fika una kiu ya kusikia nini nimekuandalia. Asikwambie mtu ni mkwaju juu ya mkwaju. Twende sawa ila tusisahau ibada.” alisisitiza Alikiba

ali kiba78

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364