-->

Author Archives: editor

Kitale: Sina Fedha za Kuanzisha Kundi la Sa...

Post Image

MSANII wa filamu na vichekesho, Musa Kitale ‘Mkude Simba’, amesema hana mpango wa kuanzisha kundi la vijana wenye vipaji kwa sasa kwa kuwa hana fedha za kumudu shughuli hiyo. Alisema lengo lake ni kuanzisha kundi lakini kwa sasa hayupo tayari kwa kuwa hana fedha za kutosha. “Kwa kweli mpango wa kuwa na vijana ninao, kuna […]

Read More..

Picha: Odama Atoa Sadaka Kwenye Kituo cha K...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ akiwa na wasanii wenzake siku ya jana walitembelea na kutoa sadaka kwenye kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazigira magumu, kituo cha Kituo Cha UMRA Kilichopo Magomeni Mikumi  jijini Dar. Odama ambaye filamu yake mpya ya MKWE  imeigia sokoni hiyo jana, amewataka mashabiki wake waende madukani wakajipatie nakara […]

Read More..

Lulu Ashambuliwa kwa Maneno, Kisa Mama Kanu...

Post Image

KITENDO cha muigizaji wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, kudaiwa kutoa maneno yenye kuonesha sawa na kumtusi mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa, baadhi ya watu wamesema kuna dalili za msichana huyo kuitafuta laana. Hivi karibuni, mama Kanumba aliliambia gazeti moja nchini (siyo ya Global Publishers) kuwa tabia ya mpenzi huyo wa zamani […]

Read More..

Utata: Tunda Man Afunguka Juu ya Miujiza ya...

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Tunda Man, ameamua kuadithia mkasa mzima uliotokea kwenye ajali waliyoipata weekend iliyopita Mkoani Iringa na kusababisha kifo cha msanii mwenzao Man Katunzo. Akizungumza na Enewz Tunda Man amesema, “Wakati tupo njiani marehemu aliniita katika gari yake nikahama katika gari niliyokuwa nimepanda na kuhamia katika gari yake na wakati […]

Read More..

Nay Wa Mitego kumsaidia mzazi mwenzie ‘Si...

Post Image

Mahakama ya wilaya ya Nyamagana,Mkoani Mwanza jana ilimhukumu miaka miwili jela mzazi mwenzie na msanii Nay Wa Mitego, Siwema Edson kwa makosa ya kimtandao,msanii huyo anafikiria kuahirihisha shoo yake kwa mwisho wa mwezi huu ili aende Mwanza kumsaidia mama watoto wake huyo. ’Inabidi niondoke hivi karibuni ilibidi nisubiri nimalize shoo lakini kwa ajili ya kumpambania […]

Read More..

Davina Ajikita na Huku Sio kwenye Movie Pek...

Post Image

MWIGIZAJI wa kike wa Filamu Bongo Halima Yahaya ‘Davina’ anasema kuwa kaamua kuwa mjasiriamali badala ya kutegemea njia moja tu ya kuigiza wakati anakuwa na mahitaji mengi ni bora kuwa mjasiriamali kuweza kumudu maisha ya watu nyota. “Maisha magumu kwa sasa huwezi kutegemea kitu kimoja tu lazima ujishughulishe katika kuhakikisha unapata kile uanchotaka kama sasa […]

Read More..

Rammy Galis Apata Shavu la Kuigiza Movie Mp...

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini, Rammy Galis amepata shavu la kuigiza filamu mpya Nigeria iitwayo Her Shoes. Rammy alienda Lagos kumalizia kurekodi video yake iitwayo Red Flag lakini imebidi aendelee kuwepo huko baada ya kupata shavu la Nollywood. “KAZI niliyo onesha #Maproducer wa Nollywood katika #RedFLAG hatimaye imeleta Matunda. #MUNGU Amepokea Dua zenu , Ameweza Kunipa […]

Read More..

Baraka, Najma Wagandana Kama Ruba

Post Image

Mkali wa Ngoma ya Siwezi, Baraka Andrew ‘Barakah Da Prince’ amejikuta akilazimisha ile kauli ya abiria chunga mzigo wako, kutokana na kutompa mwandani wake, Najma Dattan ‘Naj’ nafasi ya kujiachia na watu wengine klabu na kugandana kama ruba. Tukio hilo lilijiri wikiendi iliyopita kwenye Ukumbi wa Maisha Basement uliopo Kijitonyama jijini Dar kulipokuwa na shoo […]

Read More..

Wimbo Utaongea Yaliyo Moyoni Mwangu –...

Post Image

Msanii Nuh Mziwanda ambaye alikuwa akitoka kimapenzi na Shilole kabla ya kuachana amefunguka na kusema kuwa kwa sasa yeye hataki kuongea jambo lolote ila mambo yote ambayo yanamsumbua moyoni mwake ameyaongea kupitia wimbo wake mpya.   Wimbo huo mpya Nuh ameupa jina la ‘Jike Shupa’ Siku kadhaa baada ya Shilole na Nuh Mziwanda kuachana kulizuka […]

Read More..

Wezi wa Filamu Kufungwa Jela Miaka Mitatu F...

Post Image

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) itaendelea na msako mkali kwa wafanyabiashara wote wanauza kazi za filamu na muziki bila kubandika stempu halali za kodi, ili kulinda kazi hizo kwa ajili ya kuwanufaisha wasanii pia kuhakikisha serikali inapata kodi kutoka na kazi za wasanii. Msako endelevu utahusisha kukamata bidhaa zote ambazo hazina stempu za kodi na […]

Read More..

Wastara Afungukia Kuvunjika kwa Ndoa Yake n...

Post Image

Msanii wa filamu Wastara Juma amefunguka na kuzungumzia kuvunjika kwa ndoa yake na Mbunge wa Donge kupitia CCM Sadifa Khamis Juma ambayo imeduku kwa kakribani miezi 3. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Wastara amesema mahusiano ya mapenzi ni kama mtu anavyoishi na rafiki yake, mkizinguana maachana. “Binafsi kwa sababu ni muda mchache naumia kuwakarahisha mashabiki […]

Read More..

Juma Nature Niache Kwanza -KR Muller

Post Image

Msanii Mkongwe wa Bongo Fleva ambaye kwa sasa anajitambulisha kama Rais wa Rader Enteternment rapper KR Muller amemuambia msanii mwenzake mkongwe Juma Nature amuache kwanza afanye mambo yake. KR ameyasema hayo alipokuwa akiongea na eNews ya EATV kuhusiana na ushauri aliopewa na rafiki yake ambaye waliimba wote katika kundi la TMK Wanaume family Juma Nature […]

Read More..

Video ya NdiNdiNdi imemrudisha Jide kwa Cam...

Post Image

Baada ya miaka 10 ya kufanyakazi na muongozaji wa video Justin Campos, Komando Jide au Lady Jaydee amerudi tena kwake kufanyanaye kazi, kutengeneza video ya wimbo wake wa #NdiNdiNdi Taarifa hiyo ya kufanyakazi na Justin Campos ameitoa Lady Jaydee mwenyewe kwenye ukurasa wake wa Instagram, baada ya kupost video ikimuonyesha Justin Campos akisema ni heshima […]

Read More..

Nikikutana na Nay wa Mitego sina time naye,...

Post Image

Shamsa Ford na Nay wa Mitego ni pua na moshi. Shamsa Ford amesema akikutana na Nay wa Mitego hawezi salimiana naye kutokana na mambo ambayo walifanyiana. Mwigizaji huo wa filamu aliwahi kukiri kwamba hawezi toka tena kimapenzi na staa, ikiwa ni muda mchache toka aachane na Nay wa Mitego. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Shamsa […]

Read More..

Chidi Benz Atimiza Mwezi Sober House, Adai ...

Post Image

“Sina mengi ya kuongea, niko sawa, nipo okay, niko fresh na msaada naupata,” anasema Chidi Benz kwenye video iliyowekwa kwenye Instagram na Kalapina. Rapper huyo anatimiza mwezi tangu aingie sober house. Kuna mabadiliko makubwa katika muonekano wake ukilinganisha na jinsi alivyokuwa wakati akiingia. Afya yake ilikuwa imedhoofika kwa kiasi kikubwa na kuwatisha watu wengi hadi […]

Read More..

TRA Yakamata DVD Bandia Zenye Thamani ya Bi...

Post Image

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata CD na DVD 650,000 zenye thamani ya Sh bilioni moja kwa ukwepaji wa kodi. Pia katika zoezi hilo mitambo 47 ya kudurufu CD na DVD pamoja na kompyuta nne zimekamatwa. Mkurugenzi wa Huduma na Elimu ya Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo, alisema bidhaa hizo zilipatikana baada ya  kuwepo […]

Read More..

Huku Mitaani ni Shidaa Tajiri Mfupi Tajiri...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu Hussein Khamis ‘Chodo’ amefunguka kwa kusema kuwa kwa sasa anajikuta yupo katika wakati mgumu sana kutokana umaarufu aliopata baada ya kuigiza kama mwigizaji kinara katika filamu ya Tajiri mfupi kutikisa. “Sitaki kuwa na mpenzi sijui demu kwa sasa na kama nitataka kuwa hivyo nitaoa kwa kufuata taratibu za kidini utaratibu unajulikana, wengi […]

Read More..

Gigy Money Amtolea Mapovu Nay wa Mitego

Post Image

Mrembo anayefanya poa kwenye video za wasanii wa Bongo kama video model Gigy Money, amempa za uso msanii Ney wa Mitego na kumuita mpumbavu asiyejitambua ni nani, baada ya kumtapeli pesa yake. Gigy Money ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, na kusema kuwa kama msanii hawezi kuwaimba […]

Read More..