Kitale: Sina Fedha za Kuanzisha Kundi la Sa...
MSANII wa filamu na vichekesho, Musa Kitale ‘Mkude Simba’, amesema hana mpango wa kuanzisha kundi la vijana wenye vipaji kwa sasa kwa kuwa hana fedha za kumudu shughuli hiyo. Alisema lengo lake ni kuanzisha kundi lakini kwa sasa hayupo tayari kwa kuwa hana fedha za kutosha. “Kwa kweli mpango wa kuwa na vijana ninao, kuna […]
Read More..