-->

Author Archives: editor

Afya ya Chid Benz Yawashtua Wengi

Post Image

Kuna picha siku ya jana zilikuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha Chid Benz akiwa amepungua mwili na kuonekana ni dhaifu, jambo ambalo limewahuzunisha mashabiki wengi na wadau mbali mbali, huku wengine wakisema kuwa Chid Benz anahitaji msaada kwani hali yake ni mbaya. Kwa upande wake msanii Afande Sele alipost picha hiyo ya Chid Benz […]

Read More..

Hemed PHD Wanted, Amtapeli Producer Roho Si...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu Hemed Suleiman ‘Phd’ anatafutwa na mtayarishaji wa Filamu nchini baada ya kuchukua malipo kwa ajili ya kushiriki filamu ya Maziko saa sita na kulala mitini FC imetonywa na mdaku aliyopo anga za Phd anazopinda kujidai. Mdaku huyo akiidakisha FC amedai kuwa msanii huyo wa muziki na filamu huku akifanya poa katika filamu […]

Read More..

Lady JayDee: Nililala, Nimeamka Tena!

Post Image

Unapozungumzia wakongwe wa Muziki wa Bongo Fleva kwa upande wa wanawake, jina la Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ hutaacha kulitaja miongoni mwao. Kwa zaidi ya miaka 15, mkongwe huyu ameweza kukaa kwenye muziki pasipo kutete-reka huku kila baada ya kipindi akiibuka na nyimbo ambazo zinakuwa gumzo. Tangu mwaka 2000 hadi sasa ameshanyakua tuzo zaidi ya 25 […]

Read More..

Lulu Atoa Sadaka ya Shukrani Kanisani

Post Image

Baada ya kushinda tuzo ya ‘Best Movie East Africa’ @elizabethmichaelofficial siku ya jana aliweza kuhudhuria ibada katika kanisani la Living Water Centre (Kawe Makuti) likiwa chini ya Mtume ‘Enesmo Ndegi’ kutoa sadaka ya shukrani kwa Mungu aliyemuwezesha kupata ushindi wa tuzo. “Nina kila sababu ya kumshukuru Mungu pamoja Baba na Mama hakika sijutii kuokoka kwangu […]

Read More..

Husna, Mobeto Ndani ya Bifu Zito

Post Image

Husna Maulid.   DAR ES SALAAM: Bifu la chinichini linaendelea kuwatafuna warembo wawili ambao wote waliwahi kunyakua taji la urembo wa Miss Kinondoni kwa nyakati tofauti, Husna Maulid (pichani)na Hamisa Mobetto baada ya kudaiwa kumgombea bwana, ambaye ni raia wa DRC, aitwaye Mwami Rajabu. Chanzo chetu makini kilisema kuwa Husna ndio wa kwanza kuanza kumtuhumu […]

Read More..

Picha: Lady Jaydee Arudisha ‘Ubinti’ na...

Post Image

Lady Jaydee ameamua kuvua gamba na kurudi upya kama binti wa miaka 10 iliyopita na kurejesha ladha aliyoanza nayo na iliyompa umalkia, R&B. Lady Jaydee akisaini mkataba na Mkito ambako wimbo wake utapatikana. Kushoto ni mwakilishi wa kampuni hiyo, Aishi Muimbaji huyo mkongwe amefanya uzinduzi wa single yake mpya aliyoipa jina ‘Ndindindi’ Jumamosi hii pale […]

Read More..

Mashauzi Yanapoteza Wasanii Wengi-Diamond P...

Post Image

Msanii Diamond Platnumz amefunguka na kusema wasanii wengi wa Tanzania na Afrika Mashariki kiujumla wanapotea kwenye ramani ya muziki sababu kubwa ni mashauzi na starehe na kutaka kujionesha. Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, Diamond Platnumz amedai kuwa mafanikio yake kimuziki na kuzidi kuendelea kufanya vizuri ni kutokana na ukweli […]

Read More..

JB Aanza Kushoot Tamthilia Yake Mpya ‘Kiu...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu na mtayarishaji, Jacob Stephen ‘JB’ amewataka mashabiki wa kazi zake za filamu kukaa mkao wa kula kwa ujio wa tamthilia yake mpya iitwayo ‘Kiu ya Kisasi’. Kupitia instagram, JB ameandika: Wapenzi wa Jerusalem nilikuwa sijawapa habari ya kazi tunayoendelea nayo sio filamu bali ni tamthilia. Inaitwa Kiu ya Kisasi. Ningependa wapenzi […]

Read More..

Ray C Hatumii Madawa ya Kulevya- Rash Don

Post Image

Muandaaji wa muziki (Producer) Rash Don amesema msanii wa siku nyingi Rehema Chalamila RC anakuja na ngoma kali ambayo yeye ndo anaitengeneza kwa sasa. Don ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na EATV katika kipindi cha E News ambapo amesema kwamba msanii huyo ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri kutokana na mabadiliko chanya ambayo yanaonekana kwa hivi […]

Read More..

Juma Nature Yupo Tayari Kumkabili Diamond P...

Post Image

Mwanamuziki mkongwe kwenye game la Bongo Fleva, Juma Nature, amesema yupo tayari kupambana na Diamond Platnumz kwenye game la muziki ‘live bila chenga’ kwenye uwanja wa mpira ili ajulikane nani anaweza zaidi. Ameyazungumza hayo alipokuwa kwenye show ya ‘Friday Night Live’ usiku wa kuamkia leo ambapo amefunguka kwa kusema kuwa Diamond ndiye anakalia game ya […]

Read More..

Rapper Chidi Benz amedai kuwa anahitaji kus...

Post Image

Rapper Chidi Benz amedai kuwa anahitaji kusaidia kwakuwa hayuko sawa hata kidogo. Akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds TV jana, Chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa, amesema bado uwezo kimuziki anao lakini wale aliowaita wadau walioushikilia muziki wamemtupa. Amesema wakati wa kilele chake, alikuwa akifanya show kila […]

Read More..

Diamond Afungukia Mimba Nyingine ya Zari

Post Image

STAA wa Bongo Fleva asiyechuja kwa takriban miaka 7 mfululizo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameeleza mikakati yake kuwa ana mpango wa kumpa mimba nyingine malkia wake wa nguvu, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Risasi Jumamosi linakuhabarisha. Diamond ambaye tayari amejaaliwa mtoto mmoja (Tiffah) na mrembo huyo raia wa Uganda, amefunguka jambo hilo hivi karibuni alipokuwa […]

Read More..

Lulu Atengwa Bongo Muvi?

Post Image

Staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ameendelea kuzua minong’ono kutokana na kitendo cha kutoshiriki kwenye mikusanyiko ya wasanii wenzake hadi kufikia hatua ya kutengwa. Hali hiyo ya sintofahamu ilijidhirisha Jumanne iliyopita kwenye hafla ya kumpongeza Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam iliyoandaliwa na wasanii wa Bongo Muvi chini ya uratibu wake, […]

Read More..

Idris: Penzi Langu na Wema Sepetu Lipo Pale...

Post Image

Idriss amefunguka yote hayo alipokuwa akishiriki kipindi cha ‘Friday Night Live’ kinachorushwa na EATV kila siku ya ijumaa. Akijibu swali la mtangazaji Sam Misago kuhusu mahusiano yake na Wema Sepetu kwa sasa kwamba inasemekana hawapo sawa Idris amesema ”Mimi na Wema Sepetu ni Mwaa bado tupo zizuri kabisa” Alipoulizwa kwamba ni kweli anampenda Wema au […]

Read More..

Johari, Baba Haji Wagandana

Post Image

Mastaa wawili wa Bongo Muvi, Super Woman, Blandina Chagula ‘Johari’ na mwenzake, Adam Haji ‘Baba Haji’ wakiwa katika pozi baada ya kukutana usiku mnene kwenye Hoteli ya Rodizio iliyopo Masaki jijini Dar. Musa Mateja, Risasi jumamosi Dar es Salaam: Mh! Mastaa wawili wa Bongo Muvi, Super Woman, Blandina Chagula ‘Johari’ na mwenzake, Adam Haji ‘Baba […]

Read More..

Richie : Hakuna Msanii Anayeweza Kuwa Namba...

Post Image

Mshindi wa tuzo ya AMVCA2016 amezungumza kwenye kipindi cha Jahazi kuwa kuna kipindi akishuka sana kisanii kutokana na mambo mbalimbali lakini pia akakiri kuwa msanii yoyote hawezi kuwa namba moja milele kwani kila msanii na wakati wake. “Ukweli ni kwamba mimi sikuwa Napenda kuigiza nilienda kwenye kundi letu la zamani la ‘Mambo Hayo’  kusaidia Raymond […]

Read More..

Da Zitta: Filamu za Bongo Zinalipa

Post Image

MAPRODYUZA wanaochipukia katika tasnia ya filamu wengi wao hawafikii malengo waliyojiwekea kutokana na kukatishwa tamaa na baadhi ya wasanii na maprodyuza wenye majina makubwa ambao wanaogopa changamoto za maprodyuza wapya. Lakini licha ya maprodyuza na wasanii wenye majina makubwa kuwahadaa wasanii na maprodyuza wanaochipukia katika tasnia hiyo wengi wao si wadadisi na hukata tamaa haraka. […]

Read More..

Watoto wa Mastaa wa Bongo Wanaotabiriwa Kuj...

Post Image

Kila mtoto anapozaliwa huanza kumuangalia mzazi wake kama ni role model wake, lakini baadaye wengi huanza kubadili mawazo yao. Mastaa wa Bongo wameanza kuwatengenezea mazingira watoto wao ya kutembelea nyota za wazazi wao ili watengeneze hela kuanzia sasa mpaka hapo baadaye. Hawa ni baadhi ya watoto wa mastaa wanaotabiriwa kuja kuwa mastaa baadaye, wengine wanaweza […]

Read More..