Afya ya Chid Benz Yawashtua Wengi
Kuna picha siku ya jana zilikuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha Chid Benz akiwa amepungua mwili na kuonekana ni dhaifu, jambo ambalo limewahuzunisha mashabiki wengi na wadau mbali mbali, huku wengine wakisema kuwa Chid Benz anahitaji msaada kwani hali yake ni mbaya. Kwa upande wake msanii Afande Sele alipost picha hiyo ya Chid Benz […]
Read More..