-->

Author Archives: editor

Masanja Arusha Kijembe , Madai ya Kusakwa n...

Post Image

Kufuatia taarifa za ‘udaku’ kuenea kuwa maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wana msaka mchekeshaji, mwimba nyimbo za Injili na mchungaji, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji kwa madai kuwa mbali ya kumiliki magari zaidi ya sita huku taarifa za kodi zake hazionekani, staa huyo hivi karibuni anadaiwa kununua gari la kifahari aina ya Toyota Land […]

Read More..

Filamu ya Gharika Baada ya Miaka 3 Sasa Kui...

Post Image

FILAMU ya Gharika ni filamu ambayo imetumia muda mwingi katika kuhakikisha inatoka katika ubora wa hali ya juu kwani ni hadithi iliyogusa maisha ya watu walikufa maji huko Zanzibar jambo ambalo lilizidisha uhalisia kwa sinema hiyo iliyotengenezwa na Mohamed Mwikongi. Ni kazi iliyochukua nafasi kubwa ya muda wangu kwani awali ilikuwa ni imeitwa Spice island […]

Read More..

Mwarobaini wa Wasanii Feki Waja

Post Image

KATIKA kile kinachoelezwa ni kuhakikisha heshima ya wasanii wa filamu inarejea nchini, Chama cha Wasanii wa Filamu Tanzania, kimelazimika kutunga sheria ya kuwataka wasanii, maprodyuza na wapiga picha wote kujisajili kwenye chama hicho na mtu hatoruhusiwa kufanya kazi bila kujisajili. Akizungumza jana na MTANZANIA, Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha Maprodyuza Tanzania, William Mtitu, alisema kuwa […]

Read More..

Wastara Afunga Ndoa na Mbunge wa CCM usiku ...

Post Image

Mbali na sakata la kutaka kubomolewa kwa nyumba zake mbili zilizowekwa X kuwa bado halijapoa, Muigizaji Wastara Juma, jana usiku amefunga ndoa na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama cha CCM (UVCCM) Taifa ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Donge, Sadifa Khamis Juma. Hongera sana Wastara. Eatv on facebook

Read More..

Majuto: Kuhiji Kunanipa Wakati Mgumu wa Kui...

Post Image

MSANII nguli wa vichekesho nchini, Amri Athumani ‘King Majuto’, amesema anapata shida na aina ya uigizaji kwa sasa baada ya kwenda kuhiji na kuwa Alhaji. Akizungumza jana katika Ofisi za New Habari, King Majuto, alisema   unapokwenda kuhiji unatakiwa kufuata sheria za dini na mambo yenye hekima na kujiepusha na vitu ambavyo havitakiwi kwenye dini. “Vitu […]

Read More..

Shilole: Tatizo Nyota Ndiyo Maana Nagandwa

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’m ameibuka na kusema kuwa nyota yake iko juu ndiyo maana anagandwa sana wanaume. Shilole aliyasema hayo kufuatia kuwepo kwa madai kuwa, baada ya kuachana na Nuh Mziwanda kuna kibosile mmoja kutoka Nigeria ametua kwa ajili ya penzi lake lakini amekuwa akimkwepa kwa kuwa ana jamaa mwingine. Alipobanwa […]

Read More..

Lulu Amponza Tekno! Comments za R.I.P Zajaa...

Post Image

Tukio la kifo cha marehemu Steven Kanumba linaendelea kumwandama aliyekuwa mpenzi wake, Elizabeth “Lulu” Michael, kutokana na baadhi ya Watanzania kuendeleza tabia isiyokubalika, ya kumkejeli mwanaume yeyote anayesemekana kuwa na uhusiano naye kuwa kifo kinamuita. Kitendo hicho kimejitokeza pia kwa muimbaji wa Nigeria, Tekno aliyedaiwa kuwa na uhusiano naye. Hata hivyo Lulu alikanusha na kudai […]

Read More..

Samatta Aibuka Shujaa Tuzo za Afrika Huko A...

Post Image

Mwanasoka raia wa Tanzania anayechezea klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Ally Samatta amenyakua tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika anachezea ndani ya bara la Afrika. Samatta mwenye umri wa miaka 23 amenyakua tuzo hiyo kwa Wachezaji wachezao ndani kwa kuzoa Pointi 127 akiwaangusha Mchezaji mwenzake wa TP Mazembe Kipa […]

Read More..

Mkali wa Komedi, Nisha Kuja na ‘Kibok...

Post Image

UNAPOSIKIA tu jina la Nisha ambaye ni Salma Jabu jina la Kliniki ni mwanamke hatari katika fani ya uchekeshaji Nisha anafanya serious Comedy na kujitengenezea jina na pale popote inapotazamwa kazi ya filamu kutoka Bongo sasa anakuja na Kiboko Kabisa filamu fungua mwaka. January mwaka mpya 2016 na kitu kipya cha Historia kinakuja na si […]

Read More..

Lulu: Tekno Alijigonga Kwangu

Post Image

STAA wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameendelea kukanusha ‘ubuyu’ ulionea kuwa alivunja amri ya sita hotelini na msanii wa muziki wa Nigeria, Tekno Miles, akitoa maelezo yaliyotafsiriwa kuwa, kumbe mwanamuziki huyo ndiye aliyejigonga kwa mkali huyo wa sinema za Kibongo. Lulu alilazimika kukanusha habari hizo kufuatia kusambaa kwa picha zake na jamaa huyo ambaye […]

Read More..

Mama Fisso ‘The Iron Woman’ Anayepigani...

Post Image

MWAKA 2015 umemalizika na kuingia mwaka 2016 kukiwa na mafanikio kibao lakini kuna mashujaa waliosaidia tasnia ya filamu kuweza kuwa katika ramani na muonekano wenye hadhi ya kimataifa na kitaifa basi FC imeangazia na kumuona mtu mwenye mchango mkubwa katika tasnia ya filamu ni Bi. Joyce Fisso ‘Mama Fissoo’ Kwetu tumemuona kama The Iron Woman’ […]

Read More..

Profesa Jay Ashinda Kesi

Post Image

Mahakama Kuu kupitia Mheshimiwa Jaji IGNAS KITUTSI asubuhi ya jana imetupilia mbali maombi madogo ya kesi ya kuomba kupunguziwa gharama za dhamana ya kesi iliyofunguliwa na mwanasiasa Jonas Nkya dhidi ya msanii/mbunge Joseph Haule (Profesa Jay). Mahakama imetupilia mbali kesi hiyo na kukubaliana na hoja za mapingamizi ya kisheria yaliyowekwa na jopo la mawakili wa […]

Read More..

Wolper Akiri Kujipendekeza kwa Diamond na Z...

Post Image

BAADA ya kupata wakati mgumu wa kushambuliwa na maneno kila akiweka picha mtandaoni ya Diamond ama Zari, staa wa filamu Bongo, Jacqueline Walper ‘Wolper’ ameweka wazi kwa kuwajibu, haoni tatizo kujipendekeza kwa hao watu. Akichezesha taya na Amani, Wolper alisema kuwa, ilifika kipindi katika ukurasa wake wa Instagram watu wengi walikuwa wakimshambulia kwa maneno na […]

Read More..

Nyumba Mbili za Wastara Kupitiwa na Bomoa B...

Post Image

Muigizaji wa filamu, Wastara Juma amejikuta katika wakati mgumu tena baada ya nyumba zake mbili kupitishiwa X kwaajili ya kubomolewa siku zijazo. Katika ukurasa wake wake wa Facebook, Wastara ameandika: Mashabiki wangu mwaka umeanza vibaya kwangu nyumba zangu mbili zimewekwa X na zitabomolewa siku yoyote kuanzia leo,siko sawa kabisa niombeeni dua presha imepanda,nawapenda sana Akiongea […]

Read More..

Uwoya Hapendi Kutaja Gharama ya Vitu Vyake

Post Image

MSANII wa filamu za nchini, Irene Uwoya, amefunguka na kusema hapendi kuweka wazi mambo yake binafsi kama ilivyo wasanii wengine. Msanii huyo alisema kuwa kuna baadhi ya wasanii ambao wanapenda kuweka kila kitu chake ambapo haina maana yoyote kwa jamii. Akizungumza na MTANZANIA, msanii huyo alisema anapendelea kufanya mambo yake kwa siri na sio kuweka wazi kwenye […]

Read More..

Wastara Ndoa Tena!

Post Image

BAHATI ILIYOJE! Baada ya hivi karibuni mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kutimiza miaka mitatu kaburini, staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amefunguka kwamba anatarajia kuolewa tena kwani ameshapata chaguo sahihi. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko nyumbani kwao Tabata Barakuda jijini Dar, Wastara alisema wakati wa msiba wa mumewe aliweka nadhiri kwamba ataolewa baada ya miaka mitatu hivyo […]

Read More..

Kutokana na Malumbano Yao Mitandaoni, Mzee ...

Post Image

Jana ilikuwa siku ya kuzaliwa Mzee Yusuf,kumekuwa na malumbano ya mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii kati ya wake zake wawili Leila na Chiku,Mzee Yusuf amesema hafurahishi na malumbano hayo… ‘’Sio vitu vizuri sifurahii huwa najaribu kuwaaambia sijui hawa wake zangu wananionaje ,pengine hawajui kuwa mimi ni mume wao hawanipi heshima yangu na hasa […]

Read More..

Picha Hii ya Diamond na Mtoto wake Tiffah Y...

Post Image

Picha hii ya mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz akiwa amem-kiss mtoto wake Tiffah yazua mjadala kwenye mtandao wa instagram. Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ ndiye aliyeiweka picha hiikwenye ukurasa wake mtandaoni humo na kuandika “Simply adorable?” Picha ambayo baadhi ya mashabiki walionyeshwa kutopendezewa nayo kwa madai kuwa kiss hilo limevuka mipaka na haipendezi […]

Read More..