-->

Baby Madaha Atoboa kisa cha ‘Jini Kabula’

Msanii wa muziki wa bongo fleva, Baby Madaha amefunguka sababu zilizopelekea msanii Jini Kabula kupatwa na matatizo na kusema kuwa Jini Kabula aliamua kuachana na muziki wa dunia na kuanza kufanya muziki wa Mungu.

Baby Madaha anasema msanii huyo alipojitoa kwenye kundi lao la Scorpion girl alipata rafiki mwingine ambaye walikuwa wakishirikiana katika mambo yao na kusema mpaka anapatwa na matatizo hayo walikuwa ni marafiki lakini cha ajabu rafiki yake huyo na Jini Kabula alikuwa anaficha juu ya ugonjwa wa Jini Kabula.

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364