-->

Category Archives: BongoFleva

Dogo Janja: Nakua na Mziki Wangu

Post Image

Msanii Dogo Janja ametoa sababu inayomfanya azidi kuwa bora kwenye kazi zake, kadri siku zinavyokwenda, tofauti na wasanii wengi ambao wakitoa hit song, hushindwa kuendelea nazo. Akizungumza kwenye FNL ya East Africa Television na East Africa Radio, Dogo Janja amesema kwa sasa yeye anakua kiumri, hivyo hata uwezo wa kuandika mashairi yake unakua. “Mimi ninakua […]

Read More..

Roma Afunguka Kuhusu Professor Jay na Hip ...

Post Image

Muziki wa Singeli unaonekana kuwaumizwa kichwa wasanii wengi wa Hip Hop hasa baada ya Professor Jay kuachia wimbo wake mpya ‘Kazi Kazi’ aliomshirikisha Sholo Mwamba na kuamua kuuita style hiyo jina la Hip Hop Singeli. Akiongea na kipindi cha E News cha East Africa TV, Roma Mkatoliki amemtetea Jay kwa kusema kuwa muziki wote umeshafanya […]

Read More..

Hii Ndiyo Gharama ya video ya Saka Hela ya ...

Post Image

Baada ya kukaa kimya bila kutaja kiasi cha fedha alichotumia kushoot video yake ya ‘Saka Hela’ Nay Wa Mitego amefunguka rasmi kwa mara ya kwanza. Rapper huyo amekiambia kipindi cha ‘Ngaz kwa Ngaz’ kinachoruka kupitia EATV kuwa ametumia kiasi cha $25,000 kushoot video yake hiyo ambazo kwa hela za kibongo ni zaidi ya shilingi milioni […]

Read More..

Dully Sykes: Muziki wa Tanzania ni wa Wazar...

Post Image

Msanii Dully Sykes amesema kabila la wazaramo ambao wana asili ya jiji la DSM, ndiyo wenye muziki wa singeli ambao umeshika kasi kubwa kwa sasa, na watu wengi kusema huo ndiyo muziki halisi wa Tanzania. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Dully Sykes amesema muziki wa singeli unatokana na muziki wa mchiriku ambao […]

Read More..

Majambazi Wavamia Nyumba ya Q Chillah, Waib...

Post Image

Q Chila amethibitisha nyumba yake kuvamiwa na majambazi na wamefanikiwa kuiba baadhi ya vitu vilivyomo ndani ikiwemo laptop iliyokuwa na baadhi ya colabo zake. Akiongea na Clouds FM, muimbaji huyo amedai kuwa thamani ya vitu vyake vilivyoibiwa ni kama milioni mbili au tatu. “Watumishi wa shetani wameamua kufanya kitu cha kihistoria, siku zote wanarukaruka mmoja […]

Read More..

Neno Moja kwa Dudubaya, Kwa Kumfundisha Hik...

Post Image

Msanii Godfrey Tumaini au Dudubaya ameonesha mfano jinsi ya kuwa baba bora, kwa kuzungumza na mtoto wake kuhusu maambukizi ya magonjwa ya zinaa, na jinsi ya kujikinga na magonjwa hayo kwa kutumia condom. Akizungumza na Planet Bongo ya East Africa Radio, Dudubaya amesema huwa anazungumza na kijana wake kwa kuwa hataki apate magonjwa ya zinaa […]

Read More..

Kwanini Wanaomuita Young Dee ‘Paka...

Post Image

Maxmilian ambaye ni boss na msimamizi wa msanii wa Rap nchini Young Dee amesema hali ya rapa huyo imeimarika na anaendelea vizuri hivyo watu watarajie kazi nzuri kutoka kwake. Akipiga story ndani ya eNewz, Max amesema “Sasa namfananisha Young Dee kama ‘Paka’ kwa hiyo kwa wale watu wanaomuita Paka rapa huyo naona hawakosei kwa kuwa […]

Read More..

Kisa Kutohudhuria Sherehe Yake, Romy Amfung...

Post Image

BAADA ya hivi karibuni ndugu wa Mwanamuziki, Nasibu Abdul ‘Diamond’, kufanya sherehe ya siku yake ya kuzaliwa na kuhudhuriwa na mastaa kibao isipokuwa msanii huyo na kudaiwa kuwa wana bifu, Romy Jones ‘DJ RJ’ ameibuka na kueleza kilichotokea. Tetesi zilizagaa kwamba Diamond na Romy wana bifu ndiyo maana hakuonekana kwenye sherehe hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa […]

Read More..

Singeli Ilikuwa ni ya Wahuni – Man Fongo

Post Image

Msanii Man Fongo ambaye ni bingwa wa kuipiga singeli studio na mitaani, ametoa sababu ambayo ilifanya muziki huo uanze kwa kukwama, na kuchelewa kutoka. Akizungumza na Planet Bongo ya East AFrica Radio, Man Fongo amesema muziki huo ulikuwa umeshaaminika ni wa kihuni, kwani hata mitindo yake ya uchezaji ilikuwa siyo ya kufaa kwa jamii, na […]

Read More..

Mr Blue: Barakah na Naj Walitaka Kunivunjia...

Post Image

Mr Blue amekiri kuwa skendo yake kuwa amekuwa akiwasiliana na ex wake, Naj ambaye kwa sasa ana uhusiano na Barakah Da Prince ilitaka kuivunja ndoa yake. Akiongea na Clouds FM, rapper huyo wa ‘Mboga Saba’ amedai kuwa mke wake, Wahyda sasa amekuwa na wivu wa kufa mtu tangu kuzuke skendo hiyo. “Sasa hivi naona kama […]

Read More..

Bonge la Nyau Afunguka Kuhusu Ngoma Yake n...

Post Image

Msanii Bonge la Nyau ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Aza’ amefunguka na kusema katika ngoma zake zote alizofanya mpaka sasa ameiheshimu sana kazi aliyoifanya na msanii Alikiba. Akiwa kwenye kipindi cha 5Selekt, Bonge la Nyau amedai kuwa anaiheshimu sana kazi yake ‘Uaminifu’ ambayo alishirikiana na msanii Alikiba na kusema wimbo ule […]

Read More..

Busu Alilopewa Diamond na Dada Huyu Akiwa n...

Post Image

Kupitia ukurasa wake instagram, Diamond Platnumz  alikweka video akiwa na msanii starboy, Wizkid wa Nigeria huku  mrembo ambaye ni Miss Universe 2011, Nelly Kamwelu ambae alitokea na kumpa busu Diamond Shavuni.   Video clip hiyo iliwatoa mapovu mashabiki huku kila mmoja akiweka mtazamo wake kwa kile alichokiona kwa kuaandika comment zao. Hawa ni baadhi, officialmafitah […]

Read More..

Kassim Mganga Awafungukia Wasanii Ku’...

Post Image

Msanii Kassim Mganga amefunguka juu ya tabia za baadhi ya wasanii kuwadanganya mashabiki pale wanapoonesha vitu vya thamani, ambavyo havina ukweli kuwa wanavimiliki. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East AFrica Radio, Kassim Mganga amesema wasanii wengi wa bongo wanaigiza maisha ili kuwadanganya watu, na kujilinganisha na wasanii wa Marekani ambao hizo mali zinakuwa ni zao […]

Read More..

Juma Nature Amtamani Yemi Alade

Post Image

Msanii mkongwe wa bongo fleva ambaye bado anang’ang’ania kwenye game ya muziki, Juma Kassim au Juma Nature, ameendelea kukiri hisia zake kwa msanii wa kike Yemi Alade kutoka Nigeria, na kusema anampenda sana msanii huyo. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Juma Nature amesema anampenda sana mlimbwende huyo ambaye anatikisa game la muziki […]

Read More..

WCB Wamzawadia Raymond Gari Jipya Kwenye Bi...

Post Image

Uongozi wa WCB umeendelea kumwaga zawadi ya magari kwa wasanii wake na sasa bahati imemuangukia Raymond. Jana ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa msanii Raymond, uongozi wa WCB ukaamua kumfanyia sherehe msanii wao huyo kwenye ikulu ya Diamond iliyopo huko Madale lakini kubwa zaidi ni zawadi ya gari aliyopewa kwenye sherehe hiyo. Bosi wake, Diamond, […]

Read More..

Utajiri wa Nay, Umaskini wa Mr. T-Touch

Post Image

Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ IKIWA humfahamu kwa sura mkali wa midundo Bongo, Thabith Mango ‘Mr. T-Touch’ ni lazima utakuwa unafahamu kazi zake hata kwa kuzisikia tu zikichezwa kwenye vituo mbalimbali vya redio au mitaani. Baadhi ya kazi hizo ni Muziki Gani, Salamu, Akadumba zote alizofanya na Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Too Much ya […]

Read More..

Witness Atoa Sababu ya Kuchora Tatoo Kiunon...

Post Image

Mwanamuziki wa muziki wa kufoka foka nchini Tanzania, Witness, a.k.a Witness kibonge Mwepesi, ameelezea sababu ya kuchora tattoo yenye jina la mpenzi wake wa sasa Ochu Sheggy katika kiuno chake. Akizungumza ndani ya eNewz amesema “Ukiweka tattoo sehemu niliyoweka mimi inazuia hata unapotaka kumsaliti mwenza wako yule unayekuwa naye ina kunyima hamu kabisa na anashindwa […]

Read More..

Darasa Atoboa Sababu za Yeye Kufanya Vizuri

Post Image

Rapa Darasa ambaye kwa sasa anatesa na wimbo wake ‘Too much’ amefunguka na kusema kuwa kwa sasa anafanya vizuri kutokana na changamoto mbalimbali alizopitia kwenye maisha yake ambazo zimempelekea kufanya kazi kwa kujituma ili asirudi nyuma tena. Darasa anasema moja ya vitu ambavyo vilimpa changamoto ya kupambana ni pamoja na yeye kukosa chakula, sehemu ya […]

Read More..