-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Mama Mjatta Atoa Angalizo Hili kwa Wasanii

Post Image

MWIGIZAJI mkongwe nchini, Tecla Mjatta amefichua kuwa moja ya mambo yanayoweza kumsaidia msanii na kufika mbali ni kuzingatia nidhamu tu. Amefichua kwamba, kama wasanii watahimiza na kukomalia nidhamu kwenye kazi basi watafika mbali na kuwa wasanii wakubwa ndani ya nje ya nchi. Mama Mjatta alisema hata yeye hiyo ndiyo silaha yake kubwa na ndio maana […]

Read More..

Wolper: Ufundi Unanilipa

Post Image

MSANII wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper, amesema mbali na sanaa yake hiyo, amekuwa akipata hela nzuri kupitia kazi yake ya mitindo ambapo sasa ameamua kuwa fundi seremala. Wolper amesema huu ni wakati wake wa kutengeneza fedha ili kutimiza ndoto zake za kuishi maisha aliyojipangia tangu akiwa mdogo. “Hakuna asiyependa maisha mazuri na tutambue tu […]

Read More..

Mweee! Eti Senga Hajapata Mrithi

Post Image

MCHEKESHAJI mkongwe katika filamu Bongo, Ulimboka Mwalulesa ‘Senga’ amesema hajapata mtu wa kuendeleza makali yake ya uchekeshaji sambamba na pacha wake Pembe bin Kichwa, licha kujaa wasanii wa kumwaga nchini. “Filamu ni kama soka tu, zamani wachezaji wenye vipaji walikuwa wengi, ila hawakuwa na fedha, lakini siku hizi fedha nyingi lakini vipaji hakuna. Natamani sana […]

Read More..

Natasha alivyojigeuza kioo cha Monalisa

Post Image

Hivi sasa wanawake wengi wamekuwa wakiogopa kuwaruhusu watoto wao hususani wa kike kuingia katika sanaa kutokana na namna wanavyobadilika kitabia wanapokuwa ndani ya ya tasnia hiyo. Pamoja na uoga huo, kwa Suzan Lewis maarufu kwa jina la Natasha, hakuhofia hilo na kumruhusu mwanae Yvonne Cherry ‘Monalisa’ kuingia ndani ya fani hiyo iliyojaa mitihani kibao kwa […]

Read More..

Waziri Mwakyembe Amtembelea Wastara

Post Image

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe hapo jana( Jumapili) alikwenda kumtembelea msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma nyumbani kwake na kumjulia hali. Mh.Waziri Mwakyembe ambaye aliambata na Katibu wa Bodi ya Filamu walifika nyumbani kwa muigizaji huyo kwa ajili ya kumjulia hali ambapo Waziri huyo aliahidi kumsaidia kiasi cha shilingi milioni. […]

Read More..

Vincent Kigosi (Ray) ndani ya “BEST M...

Post Image

Msanii maarufu wa Filamu kutoka Tanzania ( Industry ya Bongo Movies) Ndg. Vincent Kigosi aka ” Ray ” leo ameandika kwenye ukurassa wake wa Instagram  “ VOTE FOR ME AS BEST MALE MOVIE STAR ” .   Hii ikiimanisha kuwa kwa upande wa wasanii wa filamu wa kiume jina lake limeingia kwenye orodha ya wasanii 14 […]

Read More..

Ray “The Greatest” amuandikia m...

Post Image

Leo ilikuwa siku ya “Birthday” kwa mtoto wao Vincent Kigosi & Chuchu Hans kutimiza mwaka 1. Katika maneno mazuri na matamu kwa mwenza wako, msanii huyu Nguli wa Bongo Movies Nd. Vincent Kigosi aka ” Ray The Greatest” kayaandika haya kwenye ukurasa wake wa Instagram na kumwambia mkewe haya …..Thanks Chuchu Hans Kwa Kunizalia Mtoto Huyu Sina […]

Read More..

Sitozikwa na Wasanii Pekee- Wastara

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wastara Juma amesema hatokuja kumladhimisha mtu yeyote katika tasnia ya ‘bongo movie’ kuwa yeye hana pesa ya kujitibia ugonjwa wake unaomsumbua kwa madai hata siku ikitokea akifa hawezi kuzikwa na hao pekee yao. Wastara ametoa kauli hiyo kwenye kipindi cha ‘FRIDAY NIGHT LIVE’ (FNL) kinachorushwa na EATV tinga namba moja kwa […]

Read More..

Msanii Engine Atoboa Siri ya Kumchukua Wolp...

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Engine ambaye hivi karibuni kulikuwa na tetesi za kumng’oa Jackline Wolper na kumuweka ndani, ameweka wazi sababu za kuamua kumtumia msanii huyo kwenye kazi yake. Akizungumza kwenye Friday Night Live Engine amesema Wolper ni miongoni mwa wanawake wachache Tanzania wanaojitambua, na ndio sababu iliyomfanya asifikirie mara mbili kumfuata. “Wolper […]

Read More..

Nicole Aingilia Ishu ya Wastara Kuchangiwa ...

Post Image

MSANII wa filamu Bongo, Nicole Francklyn amewataka wasanii wenzake kuungana na kuendesha kampeni ya kumchangia msanii mwenzao, Wastara Juma kutokana na maradhi ya mguu yanayomsibu, kwa kuwa hakuna aijuaye kesho. Akizungumza na Star Mix, Nicole alisema, kama wasanii wangekuwa na umoja na kuungana katika hilo, kwa jinsi ambavyo wamekuwa wakijionyesha kumwaga pesa kwenye mambo ya […]

Read More..

Alikiba Ashambuliwa na Mashabiki Kisa Lulu

Post Image

KATIKA kile kilichoonekana kwamba amemkumbuka aliyewahi kuwa mpenzi wake zamani ambaye kwa sasa anatumikia kifungo gerezani, Elizabeth Michael ‘Lulu’, staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba hivi karibuni alishindwakuficha hisia zake na kuweka picha ya mrembo huyo ambapo baadhi ya mashabiki walimshambulia huku wengine wakimpongeza. Kiba aliweka picha hiyo ya Lulu kwenye ukurasa wake wa Instagram […]

Read More..

Sura yangu Haijakomaa, Bado Mrembo-Shamsa F...

Post Image

MUIGIZAJI wa filamu Bongo movie Shamsa Ford katoa mpya pale aliposema kuwa bado yu ngali kijana kwani akijiangalia uso wake bado na sura yake ina mvuto na kumuweka katika makundi ya wadada wadogo kabisa, anafurahia kwa muonekano huo ambao anahisi hakimbizani na uzee akijiangalia uso wake. “Mpaka rahaa jamani nilikuwa najiangalia katika kioo kumbe uso […]

Read More..

Hamisa Mobetto Apachikwa Majina Haya Mtanda...

Post Image

Mwanamitindo Hamisa Mobetto amesema hana tatizo na majina aliyopewa Instagram na mashabiki wanaomchukia kwani hayampunguzii uhai wa kuishi zaidi ya kumpa kiki na kuweza kufanya biashara zake na mambo yake yenye maana kwa kiki wanazompa. Hamisa katika mtandao wa Instagran kuna mashabiki ambao wameunda team na kumpa majina ya maudhi ilimradi kumdhalilisha au kumchukiza. Majina […]

Read More..

Wakili Kibatala ajitoa kesi ya Wema Sepetu,...

Post Image

Kesi inayomkabili Muigizaji wa filamu Bongo, Wema Sepetu, imeahirishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatano kuendelea mpaka tarehe 8, Februali mwaka huu. Katika kesi hiyo iliyokuwa inaendelea katika Mahakama hiyo. Mahakama imepokea barua mbili kutoka Wakili wa Malkia huyo, Peter Kibatala barua ya kujitoa kuwa Wakili wa Wema na nyingine kutoka kwa Wakili […]

Read More..

Idris Sultan Ana Utani na Jack Wolper!

Post Image

IDRIS Sultan muigizaji wa filamu na mchekeshaji mahiri katika masuala ya komedi ametoa kali ya mwaka pale alipojaribu kufunga mwaka na kuukaribisha mwaka mpya akimzodoa muigizaji mwenzake katika tasnia ya filamu swahilihood Jack Wolper kwa kumwambia kuwa msanii huyo wa kike kwa mwaka huu amefunga mwaka kwa kutendwa na wanaume. “Kiukweli inatia huruma sana ninapokutana […]

Read More..

Nisha: Sina Mpango wa Kuzaa kwa Sasa

Post Image

MWIGIZAJI wa Filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’, amefunguka kuwa kwa sasa hana mpango wa kuzaa tena kwa sababu ya kumpa malezi bora mwanaye aliyenaye. Full Shangwe ilizungumza na Nisha ambaye alikuwa kwenye harakati za kumpeleka mtoto wake wa kike shuleni na kusema; “Sijafikiria kuzaa mtoto mwingine kwa sasa, acha kwanza mwanangu nimpe malezi bora, […]

Read More..

Batuli Afunguka Kuhusu Picha za Utupu

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini, Yobnesh Yusuph, Batuli’ amesimama na kutaka watu waiheshimu sanaa ya Tanzania na kuwatetea wasanii kwamba hawahusiki na suala la upigaji picha za utupu isipokuwa watu wachache waliojipenyeza kwa staili ya picha. Batuli ametoa kauli hiyo kipindi hiki ambacho wasanii wa magizo na muziki wamekuwa wakinyooshewa vidole na serikali kwa kuvaa mavazi […]

Read More..

Wastara wa Sajuki Anahitaji Shilingi Milion...

Post Image

MSANII wa Bongo Movie, Wastara Issa, anahitaji msaada wa kiasi cha Sh 37 mil ili akapatiwe matibabu nchini India, lakini mpaka sasa hakuna hata msanii mwenzake aliyekwenda kumjulia hali. Wastara alikuwa mke wa marehemu, Sajuki Juma aliyefariki miaka mitano iliyopita kutokana na tatizo la mfuko wa chakula na alikuwa pia ni muigizaji. Amesema, anahitaji kiasi […]

Read More..