-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

King Majuto Kuja na Lakuvunda

Post Image

AMRI Athuman ‘King Majuto’ baada ya kutoka Hija anatarajia kuja na filamu kali ya Lakuvunda ambayo itakuwa ni funga mwaka 2015, sinema hiyo ambayo imetengenezwa katika kiwango cha kimataifa, akiongea FC msemaji wa kampuni ya Splash Entertanment Steve Selenge amesema ni kazi nzuri. “Filamu ya Lakuvunda imetengenezwa katika kiwango cha hali ya juu sana maana […]

Read More..

Kaeni Mkao wa Kula,Riyama na ‘Pacha’ wa...

Post Image

Mastaa wakali wa Bongo Movies, Riyama Ally na mwanaheri  kwasasa wapo lokesheni wakishuti kazi yao mpya . Mwanaheri ambaye ni msanii anayekuja kwenye tasnia kwa kasi ya ajabu amefanikiwa kuwateka mashabiki nakupeleikea wamtabilie makubwa kwenye tasnia hiyo kutokana na uwezo wake katika kuigiza. Mbali na kufanana kimuonekano Mwanaheri  amekuwa akifananishwa na Riyama hata kwenye uigizaji […]

Read More..

Ujumbe Huu wa Ray Umewagusa Wengi

Post Image

Mkali wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa mara kadhaa amekuwa akiandika ujumbe mbali mbali kwenyekupitia ukurasa wake mtandaoni kuhusu maisha kwa ujumla. Kila mtu amekuwa akizichukulia jumbe hizo kwa namna anavyofikiria yeye mwenyewe lakini huu wa leo umewakuna wengi. Ray ameandika; “Katika maisha unapoamua kuwa na mtu ni kwa maisha yako usihitaji mtu kwa […]

Read More..

Snura Atoa Wazo Kuinua Filamu

Post Image

Msanii wa muziki Snura ambaye misingi ya kile anachokifanya imejengeka kutoka katika tasnia ya uigizaji ametoa maoni yake kuwa, tasnia ya filamu inaweza kuamishwa tena kwa kuhusisha visa kutoka rekodi za muziki ambazo zimefanya vizuri. Snura ametolea mfano wa rekodi yake ya Majanga ambayo anaamini kama ataifanyia filamu, itajenga hamu kubwa ya mashabiki kuitazama na […]

Read More..

Wastara Auza Vitu Vyake vya Ndani

Post Image

Inauma sana! Msanii wa filamu ambaye anasumbuliwa na tatizo na mguu, Wastara Juma inadaiwa hali aliyonayo kwa sasa si nzuri na kupata pesa ya matibabu imekuwa ngumu kwake hivyo ameamua auze baadhi ya vitu vyake vya ndani. Ndugu wa Wastara aliyeomba jina lake lisiandikwe gazetini alisema kuwa, msanii huyo anapitia kipindi kigumu kwani anahitaji pesa […]

Read More..

Filamu Ya ‘Chungu Cha Tatu’ Yamalizika ...

Post Image

Kopi za filamu mpya ya JB na Wema Sepetu, ‘Chungu Cha Tatu’ zilizoingia sokoni Jumatatu hii zimemalizika ikiwa ni siku tatu toka iachiwe. Akizungumza na Bongo5 Alhamis hii, JB alisema kasi ya mauzo ya filamu hiyo, ina kila dalili ya kuvunja rekodi ya filamu yake iliyopita Mzee wa Swagga. “Filamu inaenda vizuri sana, Jumatatu baada […]

Read More..

Mama Diamond, Wolper Wafunika Kwenye Je Uta...

Post Image

Kuna msemo usemao “experience is the best teacher”, msemo huu umekamilika kupitia mama mzazi wa msanii Diamond Platnums , baada ya kuigiza kama mama ambaye ana maisha magumu kupitiliza,huku akiwa ameuvaa uhusika vilivyo kupitia video mpya ya msanii huyo ambaye ni mwanae wa kumzaa huitwao, je utanipenda. Mama diamond, ni kati ya watu wachache waliotumika […]

Read More..

Filamu ya Catherine ni Hatari Hapa Wolper, ...

Post Image

KAMPUNI ya PDM Movie ya jijini Dar es salaam inarajia kutoa bonge la filamu kali na ya kusisimua ijulikanayo kwa jina la Catherine akiongea na FC mkurugenzi wa kampuni hiyo Saprima amesema kuwa sinema hiyo ni nzuri sana na inatoa mafunzo kwa jamii kwani wasanii walioshiriki katika filamu hiyo wenye vipaji. “Catherine ni filamu nzuri […]

Read More..

Nora Adaiwa Kuwa Chizi Tena!

Post Image

NURU Nassoro ‘Nora’ ambaye ni mwigizaji wa kitambo Bongo,anadaiwa kuugua uchizi kwa mara nyingine tena, jambo ambalo amelipinga vikali na kwamba wabaya wake wameendelea kumtakia mabaya katika maisha yake, lakini yuko safi na anaendelea na maisha yake. Mwanzoni mwa wiki hii, mmoja wa rafiki zake wa karibu aliliambia gazeti hili kuwa, uzushi na uvumi huo […]

Read More..

Lulu Afunguka Juu ya Mahusiano ya Jux na Va...

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kusema yake ya moyoni kuhusiana na mahusiano ya mastaa wawili wa bongo fleva, Jux na Vanessa kwa kuandika maneno haya kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram mara baada ya kuweka picha ya wawili hao. “You can’t Stop Loving Short Girls ???Ukiona nakudanganya Kamuulize Anko Will […]

Read More..

Tamthilia ya Mama Kubwa Mbioni Kukamilika

Post Image

TAMTHILIA mpya iliyopewa jina la Mama Kubwa inayoandaliwa na Kampuni ya 5 Effects Movies Ltd, ipo mbioni kukamilika baada ya kuandaliwa kwa muda mrefu na kuna uwezekano wa kuingia sokoni mwishoni mwa mwezi huu. Akizungumza na MTANZANIA jana mmoja wa waandaaji hao ambaye pia ni mmiliki wa kampuni hiyo, William Mtitu, alisema anaamini kazi hiyo […]

Read More..

Picha: Kajala Akijiachia na Dada Yake Diamo...

Post Image

HUKU kukiwa na madai kwamba mwigizaji Kajala Masanja ana uhusiano wa ‘kikubwa’ na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mwigizaji huyo amezidi kuyachochea moto madai hayo kwa kutokana na kujiachia mara kwa mara na dada wa Diamond, Queen Darleen, Risasi Mchanganyiko linakujuza. Kwa mujibu wa chanzo makini, Kajala na Queen Darleen wamekuwa ‘beneti’ kila kona […]

Read More..

Tamko la Wasanii Wakongwe Kwa Rais Wa Shiri...

Post Image

  WASANII Wakongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood leo tarehe 16Th December, 2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari ya Maelezo wametoa tamko lao kuhusu kumtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba kugombea nafasi hiyo ambayo alitangaza kutoshiriki kugombea nafasi hiyo kwa kipindi kijacho uchaguzi huo mwezi huu 2015. Baada ya salamu […]

Read More..

Wolper asaidia wananchi wa Golani Kimara

  “Kuanzia mwaka juzi nimekua na desturi ya kushirikiana na watu siku yangu muhimu ya kuzaliwa Mwaka juzi nilipata nafasi ya kukaa na watoto yatima na mwaka jana kituo cha wazee Mwaka huu nimeamua kugusa maisha ya watu wengi zaidi Kwahivyo kwa kutafakari jinsi gani tatizo la maji ni kubwa, nimeamua kutumia kidogo nilichonacho kujenga […]

Read More..

Picha: Irene Uwoya Akiwa mtoto wake, Krish ...

Post Image

Kila Mtu Amesema Lake Kuhusu Picha Hizi, Ila Kama Wewe Umezipenda Usisite ku-LIKE na Ku-SHARE

Read More..

Nape Anastahili- Mike Sangu

Post Image

  MWIGIZAJI wa kiume katika tasnia ya filamu Michael Sangu ‘Mike’ amefunguka kwa kuwashangaa watu wanaoponda uteuzi wa waziri wa Habari, Utamaduni Wasanii na michezo Mh. Nape Nnauye kwa kusema kuwa hawamjui vizuri wanatakiwa wafahamu ni mtu makini na anastahili. Huwezi kuponda tu kwa sababu zako binafsi mimi ninamfahamu kiongozi Nape ni mtu makini na […]

Read More..

JB: Chungu cha Tatu ni Filamu Ghali Zaidi

Post Image

  MSANII wa filamu nchini, Jacob Stephen ‘JB’, amesema kuwa filamu yake mpya ya Chungu cha tatu aliyomshirikisha mwanadada Wema Sepetu imetumia gharama kubwa zaidi kuliko filamu zote zilizotengenezwa chini ya kampuni yake ya Jerusalem. Akizungumza na MTANZANIA juzi, JB alisema ametumia gharama kubwa katika kufanikisha kuitengeneza filamu hiyo. “Nikisema nitaje gharama iliyotumika na niliyowalipa […]

Read More..