-->

Category Archives: Other News

VIDEO: Zitto Afungukia Uteuzi wa Kitila Mku...

Post Image

Kiongozi mkuu wa chama cha ACT wazalendo,Zitto Kabwe anasema walifanya mashauriano kama chama ikiwemo Kitila Mkumbo, chama kimepokea uteuzi wa Kitila kuwa katibu mkuu. Uteuzi unaonyesha upinzani kuna watu wenye uwezo, weledi na uzalendo wa kuweza kutumika katika utumishi wa Umma. Zitto: Kitila ni mtumishi wa umma kwa sababu ni mhadhiri wa chuo kikuu cha […]

Read More..

Ethiopia Kuleta Umeme wa Bei nafuu, Asema R...

Post Image

Dar es Salaam. Tanzania itapata umeme a megawatt 400 kutoka Ethiopia baada ya Rais John Magufuli na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Hailemariam Desagen kukubaliana kushirikiana katika mambo 13. Mbali na umeme, masuala mengine ni usafirishaji wa anga, bandari, matumizi ya Mto Nile, vibali vya kufanya kazi ndani ya nchi hizi mbili, utalii, kilimo, uboreshaji […]

Read More..

Makonda Ahojiwa na Kamati ya Madaraka ya Bu...

Post Image

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda leo amefika mbele ya kamati ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge baada ya wito wa Kamati hiyo kumtaka ajibu tuhuma zinazomkabili za kuingilia Haki, Uhuru na Madaraka ya Bunge. Taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari na Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Bunge imeeleza kuwa […]

Read More..

Mwigulu: Aliyemtishia Nape Bastola si Polis...

Post Image

Dodoma. Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amesema mtu aliyemtishia kwa bastola aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye si askari wa Jeshi la Polisi, lakini ameshapatikana na atashughulikiwa kwa mujibu wa utaratibu wa ulinzi na usalama. Mwigulu alisema hayo baada ya kufungua mkutano wa kazi wa mwaka wa maofisa waandamizi […]

Read More..

Gwajima: Nitaendelea Kusema Ukweli Fitina K...

Post Image

Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema ataendelea kusema ukweli na hataogopa chochote. “Nitaendelea kusema ukweli fitina kwangu mwiko” alisema hayo katika mahubiri yake ya leo kanisani kwake Ubungo. Pamoja na mambo mengine, Askofu huyo, alisema Clouds Media ni rafiki zake kwa sababu wamewaeleza ukweli watanzania. Alisema hata waislamu […]

Read More..

Ikulu Yakanusha Taarifa ya Serikali Kufuta ...

Post Image

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Ikulu, Gerson Msigwa ameikanusha taarifa inayosambaa ikionyesha kuwa serikali inatishia kuifuta mitandao ya kijamii. Taarifa hiyo iliyoonyesha imeandaliwa na Ikulu, ilieleza kuwa serikali haitasita kuifuta mitandao ya kijamii iwapo itabaini kuwa yote yanayoendelea hayana tija. “Serikali inafuatilia kwa karibu yote yanayoendelea kwenye mitandao ya […]

Read More..

VIDEO: Magufuli Ashuhudia Tena ‘Madud...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo amefanya ziara ya kushtukiza katika bandari ya Dar es Salaam kwa lengo la kufuatilia utekelezaji wa maelekezo aliyoyatoa kwa nyakati tofauti Maelekezo hayo ni juu ya kudhibiti udanganyifu wa mizigo inayoingia na kutoka nchini kupitia bandari hiyo ikiwemo usafirishaji wa mchanga wa […]

Read More..

Nape Azungumza Chini ya Ulinzi wa Polisi

Post Image

Dar es Salaam. Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, amezungumza na wanahabari nje ya hoteli ya Protea baada ya mkutano wake kuzuiwa na Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Kinondoni. Katika mkutano huo, Nape alionyeshwa kushangazwa na kitendo cha polisi kumnyooshea bunduki alipokuwa akitaka kuzungumza na wanahabari katika eneo hilo. “Mimi ni mtu mdogo sana ndani ya […]

Read More..

Ridhiwani: Baba Alinitoa Hofu

Post Image

Dar es Salaam. Baada ya kuitwa kuhojiwa kuhusu tuhuma za kuhusika na biashara ya dawa za kulevya, Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete amesema taarifa hizo zilitingisha familia yake, lakini baba yake Jakaya Kikwete alimtia moyo. Tofauti na watuhumiwa wengine waliohojiwa kuhusu matumizi na biashara ya dawa za kulevya, Ridhiwani hakutangazwa hadharani badala yake aliitwa kimyakimya […]

Read More..

VIDEO: Kamata, Kafumu Waachia Ngazi

Post Image

Mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa kamati ya bunge ya viwanda, biashara na mazingira wamejiuzulu katika nafasi zao kwa madai kamati imekuwa ikikutana na changamoto nyingi zinazowasababishia kushindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo. Mwenyekiti wa kamati hiyo, Dk. Dalali Kafumu, ambaye ni mbunge wa Igunga na makamu mwenyekiti wake, Vicky Kamata, wametoa taarifa hiyo leo wakati wakizungumza […]

Read More..

VIDEO: JPM Amtaka Makonda Aendelee Kuchapa ...

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuendelea kuchapa kazi na kwamba yeye hafanyii kazi maneno ya kwenye mitandao kwasababu yeye ndiyo Rais wa nchi hii. Rais Magufuli amesema kuna baadhi ya watu wanaingilia majukumu yake wakati yeye ndiyo mwenye uamuzi na kwamba hapangiwi kazi ya […]

Read More..

Zanzibar Yalipa Tanesco Sh 10 Bilioni

Post Image

Dar es Salaam. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar(SMZ) imeanza kulipa deni lake inalodaiwa na Shirika la Umeme Tanzania(Tanesco). Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa imesema kuwa Profesa Muhongo amesema SMZ imelipa kiasi cha Sh10 bilioni na itaendelea kulipa deni hilo […]

Read More..

VIDEO:Mzee Hashim Rungwe Autaka Ukocha wa T...

Post Image

Mwenendo usioridhisha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, umemuibua Mwenyekiti wa chama cha siasa cha Ukombozi wa Umma, (CHAUMMA), Mzee Hashim Rungwe, kutaka yeye ndiyo aitwe kuwa kocha wa timu hiyo. Mzee Rungwe ambaye alikuwa KIKAANGONI ya EATV, alikutana na swali lililomkumbusha wakati alipowahi kutamka kuwa anahitaji kuwa kocha wa timu, ambapo mzee […]

Read More..

PICHA & VIDEO: Rais Magufuli Alivyotem...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo March 16 2017 ametembelea eneo la ujenzi wa Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma na kuwahakikishia wananchi kuwa atahamia Dodoma hivi karibuni kama alivyoahidi. Rais Magufuli ambaye ameongozana na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, […]

Read More..

Niliitwa na Kuhojiwa Kuhusu Dawa za Kulevya...

Post Image

Mtoto wa Rais mstaafu wa Tanzania wa awamu ya nne, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ameshahojiwa na kamisheni ya kupambana na dawa za kulevya na kukutwa hana hatia kuhusu tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya iliyokuwa ikimkabili. Mbunge huyo wa Jimbo la Chalinze ambaye pia ni mwanasheria, jina lake lilitajwa kwenye list […]

Read More..

JK Ateua Tisa Kusimamia Bodi ya Taasisi Yak...

Post Image

Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete amechagua na kuwataja wajumbe tisa wa Bodi ya wadhamini wa Taasisi ya Mfuko wa maendeleo ya Jakaya Kikwete (JMKF). Aliwachagua wajumbe hao wakati akizindua bodi ya wadhamini wa Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam. Amewataja wajumbe wa bodi hiyo kuwa ni pamoja na Balozi Ombeni Sefue, Profesa […]

Read More..

VIDEO:RC Makonda Azindua Barabara Ya Shimo ...

Post Image

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda amezindua barabara ya Shimo la Udongo, Kilwa EPZ iliyopo kurasini ya Kilomita moja; Iliyojengwa kwa kiwango cha zege na kampuni ya wazalendo ya Grant Tech iliyogharimu takribani milioni 350.

Read More..

VIDEO: Majibu ya Hussen Bashe Kuhusu Kushik...

Post Image

Baada ya taarifa za jana kusambaa zikidai wajumbe wawili wa halmashauri kuu Taifa ‘nec’  na mbunge mmoja akiwemo mbunge wa Nzega mjini, Hussein Bashe wanahojiwa na jeshi la polisi Dodoma kwa madai ya kutaka kufanya vurugu na uchochezi katika vikao vya CCM vinavyoendelea Dodoma. Leo March 12 2017 nje ya ukumbi wa CCM Hussein Bashe […]

Read More..