-->

Category Archives: Other Celebs

singers

Wema ampa wakati mgumu Kadinda

Post Image

Mbunifu wa mavazi maarufu hapa bongo Martin Kadinda ambaye pia ni meneja wa msanii Wema Sepetu, amesema anapata wakati mgumu kumsimamia msanii huyo mkubwa na mrembo, kutokana na tabia zake zisizobadilika, ikiwemo kutokuwa kimawazo.   Martin Kadinda ameyasema hayo  kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kwamba licha ya Wema Sepetu kuwa mtu […]

Read More..

Zari ampiga stop mtoto wa Hamisa urafiki wa...

Post Image

JUZI imetokea vita kali katika mtandao wa Snapchat huku Hamisa na Zari wakitupiana vijembe vya hapa na pale huku mwenza huyo wa Diamond akimshutumu mtoto wa Hamisa kwa kumfollow mwanaye Instagram. Hamisa aliandika “Am praying for twins now. Inshallah (a girl & a boy) would be perfect ” Tena akaandika, “Waambie walopanga…mwenye nyumba kaja ndani… […]

Read More..

Zari amruka Diamond, ataka asimchezee

Post Image

Dar es Salaam. Drama za sakata la Diamond na mwanamitindo Hamisa Mobetto limechukua sura mpya baada ya Zari kujibu mapigo katika mtandao wa Snapchat akionya asihusishwe. Awali katika maelezo yake mwanamuziki Diamond amesema ameshazungumza na mpenzi wake huyo kuhusiana na mtoto aliyezaa na Hamisa na kwamba ameelewa na hakuna tatizo tena. Wakati Diamond akiendelea na mahojiano katika […]

Read More..

Mbasha Avunja Ukimya

Post Image

Msanii wa muziki wa Injili bongo Emmanuel Mbasha, ameamua kuvunja ukimya juu ya tuhuma alizopewa za kutelekela watoto aliozaa na wanawake wotauti tofauti, na kusema habari hizo hazina ukweli wowote. Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Emmanuel Mbasha amesema tuhuma hizo ni uongo na anachukia watu wanaotengeneza habari hizo, kwani yeye haitaji habari za […]

Read More..

Hamisa Mobetto na 40 ya Mwanaye

Post Image

LICHA ya kuendelea kuwaficha mashabiki baba halisi wa mtoto wake wa pili aliyemtaja kwa majina ya Abdul Nasibu, mwanamitindo, Hamisa Mobetto ameanza kufanya maandalizi ya kusherehekea siku 40 za mwanaye huyo kuzaliwa ambaye mpaka sasa hakuna aliyebahatika kuiona sura zaidi ya ndugu zake wa karibu. Katika ukurasa wa Instagram wiki hii, Mobetto amekuwa akiyanadi mavazi […]

Read More..

Mc Pilipili Apata Ajali Nakulazwa Bugando

Post Image

Mchekeshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias maarufu Mc Pilipili amepokewa katika kitengo cha dharura cha Hospitali ya Rufaa Bugando, Mwanza baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga. Ofisa uhusiano wa hospitali hiyo, Lucy Joseph amethibitisha kupokewa Mc Pilipili na amesema taarifa zaidi kuhusu hali yake zitatolewa baadaye. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Simon Haule akizungumzia ajali […]

Read More..

Zari Awajibu Wanaodai Hamkumbuki Ivan

Post Image

AMEWAJIBU! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mpenzi wa msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz, Zari kutembelea kaburi la aliyekuwa mumewe marehemu Ivan Semwanga ‘Ivan Don’, Kayunga, jijini Kampala, Uganda. Mrembo huyo ambaye amekuwa akipata wakati mgumu kutoka kwa watu mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii ambao wamekuwa wakimtuhumu kutomkumbuka mume wake huyo wa zamani, […]

Read More..

Kisa Gauni, Wema Ashindwa Kuhudhuria Uzindu...

Post Image

Diva anayebamba kunako tasnia ya filamu Bongo, Wema Sepetu, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kushindwa kuhudhuria uzinduzi wa viatu vya x- wake, Idriss Sultan, kutokana na fundi kumharibia nguo yake. Wema ameonyesha kusikitishwa kwa kitendo hiko, hasa ukizingatia kwamba Idriss alimsapoti kwa asilimia kubwa katika uzinduzi wa filamu yake ya Heaven Sent. Na kupitia ukurasa wake wa Instagram, amemuomba radhi na kumuelezea kilichotokea. “Siku […]

Read More..

Idriss Amuonea Huruma Sana Jack Wolper kwa ...

Post Image

MCHEKESHAJI na muigizaji wa filamu Bongo Idris Sultan amewaacha wapenzi wa filamu pale aliposema kuwa anamuonea huruma sana Jack Wolper kwa mikasa inayomkabili katika maisha yake ya mahusiano kwani amekuwa hana bahati kila mwanaume anayekutana naye lazima amuumize na hayo usimlimua akipigwa chini. “Juzi hapa tumesikia kuwa alipata mwanaume akaenda kwake hana hela mama akajua mume […]

Read More..

Mkojo wa Masogange Gumzo Mahakamani

Post Image

MAHAKAMA ya Hakimu Mkasi Kisutu ilipokea ripoti ya uchunguzi wa sampuli ya mkojo ya Msanii Masogange kutoka kwa Mkemia Elias Mulima kwenda kwa ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali kama kielelezo. Uamuzi huo ulitolewa jana na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri baada ya mawakili wa Masogange, Nehemia Nkoko na Ruben Simwanza, kupinga mahakama isipokee ripoti […]

Read More..

Msanii nguli wa filamu wa Marekani atua Ser...

Post Image

Arusha. Msanii wa filamu maarufu duniani na raia wa Marekani, Cynthia Rothrock, maarufu Lady Dragon, ametua kutalii katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Cynthia aliyewahi kushinda tuzo tano za filamu duniani kupitia filamu zake za mapigano, amefikia katika hoteli ya Grumeti Serengeti inayomilikiwa na bilionea wa Marekani, Paul Tudor. Msanii huyo ambaye ameigiza zaidi ya […]

Read More..

Masogange: Situmii uchawi wanakuja wenyewe

Post Image

BINTI mwenye haiba ya aina yake, Masogange ametamka kwamba sasa ameamua kuachana rasmi na kuuza sura kwenye video kwavile baby wake hapendi. Lakini anadai kwamba kumbe utoto ndio ulikuwa unamdanganya. “Wakati nauza sura kipindi kile nilikuwa na akili ya kitoto, yaani nilikuwa nataka na mimi niwe Staa nijulikane. Nilikuwa nikiona wale dada zetu wanavyoonekana kwenye […]

Read More..

Huddah: Natamani Kuwa Mke wa Rais

Post Image

MWANAMITINDO maarufu nchini Kenya, Huddah Monroe, amesema anatamani siku moja aje kuwa mke wa rais ili aweze kuishi kwa amani katika maisha yake. Mrembo huyo wakati wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu nchini Kenya, alitumia mitandao yake ya kijamii kuonesha wazi kumpigia debe Rais Uhuru Kenyata. Hata hivyo, baada ya Uhuru kushinda urais, Huddah alisema anatamani […]

Read More..

Prezzo Akanusha Kutaka Kumuua Mke Wake

Post Image

NYOTA wa muziki nchini Kenya, Jackson Makini ‘CMB Prezzo’, amekanusha taarifa kwamba anamtishia kifo aliyekuwa mke wake, Michelle Yola. Wiki iliyopita kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya kulikuwa na taarifa kwamba Michelle anatishiwa kifo na mkali wa mavazi ‘King of Bling’ Prezzo, lakini msanii huyo amekanusha na kusema Michelle anatafuta kiki. “Niliweka wazi kuwa sina […]

Read More..

Msanii Jaguar wa Kenya Ashinda Ubunge

Post Image

Msanii Charles Njagua maarufu kama Jaguar ambaye ameshinda kiti cha ubunge katika jimbo la Starehe nchini Kenya kufuatia uchaguzi mkuu ambao bado unaendelea, amewarudia wananchi na kuwashukuru. hinda Kupitia ukurasa wake wa Instagram Jaguar ameandika maneno akisema kuwa bila wao asingefanikisha hilo, huku akiwashukuru wapinzani wake kwa kukubali ushindi wake huo. “Hakuna linalowezekana bila Mungu, […]

Read More..

Hamisa Mobeto Ajifungua Mtoto Wakiume

Post Image

Mwanamitindo maarufu ambaye pia ni muuza nyago kunako video za wasanii Bongo, Hamisa Mobbeto,amejifungua mtoto wa kiume leo. Kupitia mtandao wa instagram mama yake mzazi  na hamissa  ameweka picha hii hapa chini na kuandika “Alhamdulilah mume wangu mie peke angu”

Read More..

Hamisa Mobeto Afunguka Penzi Na Diamond, Uj...

Post Image

TANGU ilipoachiwa video ya kibao cha Salome ya mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akishirikiana na Rayvanny, kulianza maneno kuwa Diamond anatoka kimapenzi na mwanamitindo mwenye mvuto Hamisa Mobeto. Hamisa alikuwa mmoja wa video vixens waliopamba video hiyo kali iliyomrudisha mwanamama Saida Karoli kwenye game baada ya kujipa likizo kwa muda mrefu. Lakini […]

Read More..

Rais Magufuli atuma rambirambi kifo cha Ali...

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli ametuma rambirambi kwa familia, wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), uongozi wa Klabu ya Yanga na wanamichezo wote kwa jumla kutokana na kifo cha shabiki wa Klabu ya Yanga, Ali Mohamed maarufu Ali Yanga. Ali Yanga amefariki dunia jana (Jumanne), Juni 20 kwa ajali ya gari iliyotokea katika Kijiji […]

Read More..