-->

Category Archives: Other Celebs

singers

Majonzi kwa Yanga na wadau wa soka kifo cha...

Post Image

Dodoma. Tanzia tanzia.. Ni majonzi kwa wadau wa soka Tanzania kufuatia kifo cha shabiki maarufu Yanga, Ally Yanga kilichotokea mchana wa leo mkoani Dodoma wakati akiwa kwenye mbio za mwenge wa Uhuru. Taarifa za awali zinasema shabiki huyo amefikwa na umauti katika kijiji cha Chipogolo kilichopo wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma njia ya kwenda mkoani Iringa […]

Read More..

Muongozaji wa filamu ya The Karate Kid na R...

Post Image

Mtayarishaji na Muongozaji wa filamu za Rocky na The Karate Kid na mshindi wa tuzo za Oscar, John G. Avildsen amefariki dunia. Mtoto wa John Avildsen aitwaye Avildsen Anthony ameviambia vyombo vya habari leo nchini Marekani kwamba baba yake amefariki kwa ugonjwa wa saratani katika hospitali ya Sinai Medical Senter mjini Los Angeles. Filamu ya […]

Read More..

Mwanaume Aliyeonekana Zari Kwenye ‘Sw...

Post Image

Mwanaume ambaye aliyedaiwa kumshika mzazi mwenza wa msanii Diamond, Zari Hassani katika bwawa la kuogelea, Edwin Lutaaya amefunguka juu ya tuhuma hizo. Edwin ambaye ni ndugu wa mume wa zamani wa Zari, amedai kuwa hakumshika Zari kama mitandao ilivyodai na ile picha ilipigwa na mkewe ambaye naye alikuwepo katika eneo hilo. Edwin ambaye amefanya mahojiano […]

Read More..

Mama Diamond Afungukia Diamond Kuhusishwa n...

Post Image

Baada ya kuwepo kwa story ambayo inaendelea kusambaa kwenye mitandao ya kijamii ikidai kuwa mwimbaji staa Diamond Platnumz amempa ujauzito Hamisa Mobetto na kumnunulia gari, mama mzazi wa staa huyo amefunguka. Kupitia kwenye U-heard ya XXL ya Clouds FM leo June 9, 2017 mtangazaji Soudy Brown baada ya kuwakosa Diamond na Hamisa Mobetto alipiga story na […]

Read More..

Magari ya Kifahari Yatawala Msiba wa Mume w...

Post Image

Uganda. Magari ya kifahari yameonekana leo katika mazishi ya bilionea Ivan Ssemwanga yaliyofanyika nyumbani kwao Kayunga jijini Kampala. Ivan aliyekuwa mume wa Zari Hassan maarufu ‘Zarithebosslady’ ambaye kwa sasa ni mpenzi wa Diamond Platnumz, alifariki dunia wiki iliyopita baada ya kupata kiharusi na kuwa katika hali ya koma kwa wiki mbili mfululizo katika hospitali ya […]

Read More..

Ivan Kuzikwa Leo, Zari Aahidi Kuwaangalia W...

Post Image

Baada ya Jumatatu hii mwili wa Ivan Ssemwanga kuagwa na kufanyiwa ibada takatifu, aliyekuwa mke wa zamani wa marehemu, Zari Hassan alipata fursa ya kuzungumza kwa mara ya kwanza. Katika misa ya mazishi iliyofanyika kwenye kanisa la Namirembe mijini Kampala, Uganda Jumatatu hii, Zari alionekana akiwa ametulia na akizungumza na wanae. Alipoitwa kuzungumza madhabahuni, watu […]

Read More..

Mfanyabiashara Ivan Semwanga Kuzikwa Uganda...

Post Image

Mwili wa mfanyabiashara Ivan Don Ssemwanga ambaye ni mzazi mwenza na mama watoto wa Diamond, Zari the Bosslady aliyefariki Alhamisi hii nchini Afrika Kusini alipokuwa akitibiwa utasafirishwa Jumapili hii kwenda nyumbani kwao Uganda kwaajili ya mazishi kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na familia. Mjomba wa marehemu, Herbert Luyinda ameviambia vyombo vya habari nchini Uganda kwamba […]

Read More..

Mbasha: Sina Hamu na Ndoa Tena

Post Image

BAADA ya hivi karibuni aliyekuwa mkewe, Flora Mbasha kuolewa na mwanaume mwingine, Mwimbaji wa Injili, Emmanuel Mbasha amefunguka kuwa hana hamu na ndoa hivyo hawezi kuwa na haraka ya kuwa na mke kwa sasa kwani anahofia kupata mwanamke msaliti tena. Akipiga stori na Star Mix, Mbasha alisema kutokana na changamoto kubwa aliyoipata kwenye ndoa, kila […]

Read More..

Mzazi mwenzake Zari afariki dunia

Post Image

Dar es Salaam. Mfanyabiashara wa Uganda, Ivan Semwanga amefariki dunia katika Hospitali ya Steve Biko Academic jijini Pretoria, nchini Afrika Kusini. Zari aliyezaa watoto watatu na mwanamume huyo amethibitisha kifo chake kwa kuandika katika mtandao wa Instagram akimtakia pumziko la milele. “Mungu huwaita kwake walio wema ndiyo maana amekuchukua. Umegusa maisha na kusaidia wengi. Nakumbuka […]

Read More..

Madam Flora Afunguka Haya kwa Mume Wake

Post Image

Msanii wa nyimbo za injili nchini, Madam Flora amefunguka na kusema mume wake wa sasa Daudi Kusekwa ni mwanaume shujaa kwani ni mtu aliyevumilia mengi. Madam Flora alisema hayo siku ya kuzaliwa kwa mume wake huyo ambayo ilikuwa Jumapili  huku akimtakia maisha marefu na mafanikio mema “Hongera mume wangu Daudi Kusekwa kwa kuzaliwa, Mungu akupe […]

Read More..

Flaviana Matata: Mwanamitindo, Mjasiriamali...

Post Image

Miaka 10 iliyopita Flaviana Matata aliibuka mshindi katika mashindano ya Miss Universe nchini. Huenda wengi walimchukulia kama washindi wengine ambao hufurahia umaarufu na zawadi kisha hupotea. Miaka 10 baadaye Flaviana si tu jina maarufu nchini kama yalivyo mengine, ni super model, mjasiriamali na mwanaharakati anayesaidia wenye uhitaji. Amefanyakazi na makampuni makubwa katika kazi yake ya […]

Read More..

Faraja Nyalandu na Hoyce Temu Walitumia Uch...

Post Image

Na RAMADHANI MASENGA KWANZA huanza kwa kupita jukwaani. Kisha yanafuata ni mambo ya ubunifu. Baadaye ndipo huanza kuulizwa maswali. Moja kati ya maswali wanayoulizwa mamisi wetu ni pamoja wapi ulipo Mlima Kilimanjaro, Baba wa Taifa alizaliwa mwaka gani na Ziwa Tanganyika linapatikana mkoa gani. Baada ya hapo mambo mengine hufuata. Kisha jina la mshindi hutajwa. […]

Read More..

Flora Ameamua Kurukaruka – Emmanuel Mbasha

Post Image

Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini Tanzania, Emmanuel Mbasha, ambaye alikuwa mume wa Flora ameweka wazi kuwa hana shida na Mume mpya wa madam Flora Daudi Kusekwa. Kupitia eNewz ya EATV, Emmanuel Mbasha amesema kuwa hana shida na  mume mpya wa Flora kwani yeye hamfahamu na kama akikutana naye hawezi kumfanya lolote maana huyo mtu hakuwahi […]

Read More..

Baada ya Ndoa ya Pili Flora Afunguka Haya

Post Image

Msanii wa nyimbo za injili Tanzania Flora ambaye alikuwa mke wa Emmanuel Mbasha jana amefanikiwa kufunga ndoa yake ya pili na kijana Daudi Kusekwa baada ya ile ya kwanza kuvunjika na kupeana talaka na Emmanuel Mbasha. Baaada ya kufunga ndoa hiyo jana Flora alisema yeye ana amani ya moyo licha ya watu kuendelea kusema maneno […]

Read More..

Picha:Madam Flora Afunga Ndoa Leo na Daudi ...

Post Image

Manamuziki maarufu wa nyimbo za Injili, Flora Flora, ambaye ni mjukuu wa aliyekuwa muhubiri maarufu nchini, Askofu, Moses Kulola (sasa marehemu), amefunga ndoa leo tarehe 30/04/2017 jiji Mwanza na mchumba wake Daudi Kusweka. Hizi ni baadhi ya picha za harusi hiyo.

Read More..

CUF Lipumba Yakiri Aliyekatwa Kisigino ni M...

Post Image

Dar es Salaam. Chama cha Wananchi CUF kimekiri kuwa mtu aliyekatwa kisigino katika vurugu zilitokea Jumamosi iliyopita ni mlinzi wa chama hicho. Akizungumza leo Mkurugenzi wa Habari wa CUF,Abdul Kambaya amesema mlinzi huyo na wenzake walikwenda Mabibo kwa ajili ya kufanya doria. Amesema mlinzi huyo Rashid Mtawa alikatwa mapanga na wafuasi wa chama hicho wanaounga […]

Read More..

Flora Mbasha Kuolewa Jumapili Ijayo

Post Image

MWIMBAJI nyota wa muziki wa Injili nchini, Madame Flora (Flora Mbasha zamani), Jumapili ya wiki ijayo anatarajia kufunga ndoa na mume wake mtarajiwa Daudi Kusekwa katika bustani za hoteli ya Rock Beach jijini Mwanza. Madame Flora ameliambia Swaggaz kuwa ndoa hiyo itaambatana na uzinduzi wa albamu yake mpya inayoitwa Wakati Wake pamoja na kitabu alichokipachika […]

Read More..

Mke wa Chameleon Adai Talaka Mahakamani

Post Image

MKALI wa muziki nchini Uganda, Jose Chameleon na mke wake, Daniella Atim, wanaweza kuachana hivi karibuni baada ya mwanamke huyo kwenda mahakamani kwa lengo la kudai talaka. Wawili hao walifunga ndoa Aprili 18, 2017 na wana watoto wanne ila kwa sasa wanaweza kuachana, huku mrembo huyo akidai kuwa ananyanyaswa mno na Chameleon. Kwa mujibu wa […]

Read More..