-->

Diamond Afunguka Haya Baada ya Profesa Jay Kumsemea Bungeni

Msanii Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz leo kupitia akaunti yake ya Instagram ameeandika maneno yanayoashiria kutokufurahia hotuba ya mbunge wa Mikumi Joseph Haule a.k.a Prof Jay.

Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz

Diamond aliandika maeno hayo yanyosomeka “Ndio Maana kwenye Jimbo lako sikuja kupiga kampeni bro…kwakuwa niliijua mapema thamani na umuhimu wa Uwepo wako kwenye hilo jengo….. @professorjaytz

Pro .Jay katika hutuba yake leo bungeni alizungumzia pia suala la msanii huyo kudaiwa kodi na TRA milioni 400, akiitaka serikali iangalie upya kwani wanashindwa kutambua mchango wa wasanii baada ya kampeni zao.

 

 

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364