-->

Hivi Punde: Mke Mdogo wa Mzee Yusuf Amefariki Usiku Huu

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Bendi ya Jahazi Modern, Mzee Yusuf amefiwa na mkewe usiku huu. Mmoja wa Wakurugenzi wa Jahaz Modern Taarab, Mzee Juma Mbizo ameiambia Global Publishers kuwa bi Chiku, ambae alikua mke mdogo wa Mzee Yusuf amefariki dunia katika Hospitali ya Amana wakati akijifingua. Mtoto nae pia amefariki.

Marehemu bi Chiku, ambae alikua mke mdogo wa Mzee Yusuf.

Pumzika kwa amani Chiku. Pole kwa Mzee Yusuph ndugu jamaa na  marafiki.

 

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364